Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,585
Bhinamu natambua uwepo wako...ongera kwa phd na hiyo master phd tuombe iishe salama ....
Kesho tutakuwa wote tuyajengee

Bhinamu natambua uwepo wako...ongera kwa phd na hiyo master phd tuombe iishe salama ....
Kesho tutakuwa wote tuyajengee

Ila mod niliona waliizungumzia uzur wameitoaaHapana Baba D acha tu sihitaji kujua tena
....labda alikula makande !? Maana mtu akila makande wikend huwa anapenda kuanzisha mambo yaliyoisha.

Ndo huwa zakee huyuu
Niiweke huku ?Picha gani tena ilikuepo huko
Waganga hawana nafasi binamu na pole yako simwambii
Hapana T siitaki usiiwekeNiiweke huku ?
Basi binamu sifikishi vyoteHeh! Yaani hata pole hufikishi kisa nimetoa ushauri!?
Kataa ushauri, fikisha pole
Sitoweza hata kufanya hivyo manake kuipata ni sheeda pia..Hapana T siitaki usiiweke
Ni vizuriSitoweza hata kufanya hivyo manake kuipata ni sheeda pia..
Afu sijazoea hayo madudu..
Ila wao wameyazoea kule kwa jlwSitoweza hata kufanya hivyo manake kuipata ni sheeda pia..
Afu sijazoea hayo madudu..
NimejifunzaInaweza kuwa hivyo but inaweza kuwa Uchu, kuwa na uchu juu kitu au mtu
Asira hasaraBasi binamu sifikishi vyote
Hasira ya nini tena jamanAsira hasara
Leo zamu yangu kuchaguaBinamu naomba nichague nyimbo jamaaan