Makapuku Forum

Makapuku Forum

8216c9040f426a40f649e087a8f5fa7a.jpg
Zamani kila kitu kilikuwa ngangari kuanzia vyombo vya usafiri,michezo nayo ilijaa watu wagumu,mapenzi mayo yalikuwa ya kingangari
Chakula pia

Siku hizi vitu na watu laini laini wazee wa soseji na kutembelea automatic cars hata kutembea kidogo tu shida
.......
 
Amani ya bwana ikae nanyi nyote daima

Natumai nyote mmeamka salama na kufurahia utukufu wa Mungu siku ya leo.

Napenda kutambua michango yenu wapendwa kwa wapendanao hakika ni fahari kuwepo humu ndani na kupata vitu vipya kila uchwao.

Kwanza niombe radhi jana sikufanikiwa kuleta matokeo ya mechi za jana hivyo nitaanza kwanza kuleta matokeo kisha ratiba za michezo ya leo.

Ahsante na karibuni.
Karibu
 
Amani ya bwana ikae nanyi nyote daima

Natumai nyote mmeamka salama na kufurahia utukufu wa Mungu siku ya leo.

Napenda kutambua michango yenu wapendwa kwa wapendanao hakika ni fahari kuwepo humu ndani na kupata vitu vipya kila uchwao.

Kwanza niombe radhi jana sikufanikiwa kuleta matokeo ya mechi za jana hivyo nitaanza kwanza kuleta matokeo kisha ratiba za michezo ya leo.

Ahsante na karibuni.
Let's go
 
Heshima kwako kapuku mwenzangu
Mtaani kwetu Jana tanesco walifanya yao na HV vitecno vyetu vya kuchaji kila siku basi ilikuwa majanga tu
Km kawaida mi sio mzee Wa kuskip page so ukiona naquote SMS ya mwaka juzi ukae kimya tu

OK muwe na asubuhi njema wote especially binamu Wa Lee mpendwa/mpenzi Wa Mimi DJ Wa makapuku Mimi penda sana wewe mutu kwakweli
Umeme tunalipia ila tunapewa na kunyanganywa km watoto ambao unaweza kuwapa pipi wasipokuamkia unawapora

......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom