Mndali ndanyelakakomu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2016
- 14,001
- 31,770
Njoo nyumbani uende shuleBora kuwa panya road nitakuwa nakula kwa jasho kuliko kuchunga mbuzi nishindwe kusoma
Nitarudi nikiona hizo karatasi za malipo ya ada na hela ya bording na sale za shuleNjoo nyumbani uende shule
AiseeMama mkubwa nimemwambia kaka Lee akupe taarifa kuwa nimesepa nyumbani sitaki kuchunga mbuzi nataka kusoma
Utazionaje bila kuja nyumbani?Nitarudi nikiona hizo karatasi za malipo ya ada na hela ya bording na sale za shule
Uhali gani kipenzi cha mtaasisi?
Nakugawa bure wewe...Jana nimepishana na mamkubwa ukimwona mwambie mi nimesepa nyumbani
Mbona unachukulia vitu serious mydear? Hapa chit chat tupo kiutani zaidi, tunataniana tunafurahi. So dont take things very serious. Haya mkuu siku njema na maisha mema pia.

Bora umelionaa hili litoto litatuletea balaaYaani unanipa masharti. We mtoto ukoje jamaniiii. Kesho baba yako mkubwa ataenda bank kulipa then akupeleke. Huko uliko usije ukawa panya road. Rudi nyumbani fasta
Nitumie WhatsAppUtazionaje bila kuja nyumbani?
Nigawe tu maana wengine wanalilia watoto wawasomeshe we unataka nichunge mbuziNakugawa bure wewe...
Na mkizingua sirud home tenaBora umelionaa hili litoto litatuletea balaa
Naona mamkubwa anataka nichunge mbuzi wakati mi nataka kusoma nisaidie wanipeleke shuleAisee
Hiyo simu ya whatsap umeitoa wapiii weee mtotoNitumie WhatsApp
Ushaambiwaa utasoma vetaNigawe tu maana wengine wanalilia watoto wawasomeshe we unataka nichunge mbuzi
Yule jamaa huwa hakopeshiMbududa ndio kila kitu siku zake mbili tu anamaliza mzigo
Jehuri hiyooo itakuponzaaaNa mkizingua sirud home tena
Si nilichukua ile tecno ya mamkubwa alivyo nunua ile iphoneHiyo simu ya whatsap umeitoa wapiii weee mtoto
Veta sitaki maana nataka kuwa magufuli wa Tanzania sitaki kuwa fundi wa kutengeneza vituUshaambiwaa utasoma veta