Pamoja sana mpendwa wa ObeAsante shululu Wa tumosa
GoodNiko poa mkuu
Nyota njema huonekana asubuhiEURO U19 FINAL
Hongera kwa England mwaka huu umekuwa mzuri kwa upande wao![]()
![]()
![]()
Niko poa kabisaPoa tu VP wewe shululu Wa tumosa
AiseeLeo katika Historia
1969 - Wana Apollo wa Marekani ( Apollo 11 ) wazindua mpango wao wa kwenda Mwezini.
Zamani mtu anatembea kilometer 5 kwenda shule na anafauru vizuri tu, sasa hivi wanabebwa kwenye mabus, ukiwauliza kusini ni wapi utakavyojibiwa utachokaZamani kila kitu kilikuwa ngangari kuanzia vyombo vya usafiri,michezo nayo ilijaa watu wagumu,mapenzi mayo yalikuwa ya kingangari
Chakula pia
Siku hizi vitu na watu laini laini wazee wa soseji na kutembelea automatic cars hata kutembea kidogo tu shida
.......
Tanzania ya maguUmeme tunalipia ila tunapewa na kunyanganywa km watoto ambao unaweza kuwapa pipi wasipokuamkia unawapora
![]()
![]()
![]()
......

Hongera UkraineLeo katika Historia
1991 - Ukraine yapata Uhuru wake.
Aisee RIPLeo katika historia
1999 - John F. Kennedy Jr, Mtoto wa aliyekuwa Rais wa Marekani John F Kennedy Sr anafariki kwa ajali ya ndege yeye pamoja na Mkewe na dada yake.
Anakamilisha vifo tata vya familia ya Kennedy, ambapo wanafamilia wengi walikufa vifo vya kusikitisha kama vile kuuwawa.