shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
HBD MousaLeo katika Historia
1987 - Mousa Dembele anazaliwa.
Mchezaji wa mpira wa miguu toka nchini Ubelgiji na klabu ya soka ya Tottenham.
HBD MousaLeo katika Historia
1987 - Mousa Dembele anazaliwa.
Mchezaji wa mpira wa miguu toka nchini Ubelgiji na klabu ya soka ya Tottenham.
HBD GarethLeo katika Historia
1989 - Gareth Bale anazaliwa.
Mchezaji ghali zaidi duniani anayecheza Real Madrid na timu ya taifa ya Wales.
Morning ankaliMorning family
Asante kwa jibu
NakumbukaaKuhusu ATARI nakumbuka nimewahi kuielezea kwenye "Facts about SJ" Transcend akasema hii halikuwa hajui
....
Mndali unawajua panya road na shida zao
Karibu uswahilini kwetu Mabibo ujue timbwili lao
Wanang'oa hadi miwa !!!
![]()
![]()
![]()
.....
wanaiba hadi madekio
Yaaaah lets waitMi naona kichekesho
Ila labda wanajua wafanyalo
....
Pamoja sana mpendwa wa Obe

Kachukua ile uliyoacha kutumiaa ....tecno yako baada ya kuanza kutumiaa iphoneJibu zuri mume wangu. Kwanza nani kamnunulia?
AmaizingHii ndo nasikia leo
Inashangaza
![]()
![]()
.....
Wapumzike kwa amaniLeo katika historia
1999 - John F. Kennedy Jr, Mtoto wa aliyekuwa Rais wa Marekani John F Kennedy Sr anafariki kwa ajali ya ndege yeye pamoja na Mkewe na dada yake.
Anakamilisha vifo tata vya familia ya Kennedy, ambapo wanafamilia wengi walikufa vifo vya kusikitisha kama vile kuuwawa.
Happy birthday dembeleLeo katika Historia
1987 - Mousa Dembele anazaliwa.
Mchezaji wa mpira wa miguu toka nchini Ubelgiji na klabu ya soka ya Tottenham.
Zamani kila kitu kilikuwa ngangari kuanzia vyombo vya usafiri,michezo nayo ilijaa watu wagumu,mapenzi mayo yalikuwa ya kingangari
Chakula pia
Siku hizi vitu na watu laini laini wazee wa soseji na kutembelea automatic cars hata kutembea kidogo tu shida
.......
Happy birthday baleLeo katika Historia
1989 - Gareth Bale anazaliwa.
Mchezaji ghali zaidi duniani anayecheza Real Madrid na timu ya taifa ya Wales.
MorningMorning ankali
Happy birthday townsandLeo katika Historia
1991 - Andros Townsend anazaliwa.
Mchezaji wa mpira wa miguu toka nchini Uingereza.
Leo katika Historia
1969 - Wana Apollo wa Marekani ( Apollo 11 ) wazindua mpango wao wa kwenda Mwezini.
Niko Poa kabisaaHaya shemeji, uko poa lakini shemeji
Asante pachaSina la ziada toka maktaba yangu,
tukutane kesho hapahapa kwa Udhamini mnono tena wa nguvu toka kwa Saida Kalori
Niite Jimena Jimenes ukipenda utaniita JJ
Muwe na jumapili njema wapendwa
MornMorning family