Makapuku Forum

Makapuku Forum

Hii ndo nasikia leo
Inashangaza
163c4045cda8b8c1ade3c4fdeb412b98.jpg
5e2a9292f60707a29c3e748973a3b681.jpg

.....
Amaizing
 
Leo katika historia

1999 - John F. Kennedy Jr, Mtoto wa aliyekuwa Rais wa Marekani John F Kennedy Sr anafariki kwa ajali ya ndege yeye pamoja na Mkewe na dada yake.

Anakamilisha vifo tata vya familia ya Kennedy, ambapo wanafamilia wengi walikufa vifo vya kusikitisha kama vile kuuwawa.
Wapumzike kwa amani
 
Leo katika Historia

1969 - Wana Apollo wa Marekani ( Apollo 11 ) wazindua mpango wao wa kwenda Mwezini.
bd400a1cbd3237a667df7dc9f3d17ef2.jpg
a67f7df391fb23dd9dd6a6ddeb2ab30e.jpg
238b1727a0d4b8a6dbaec554b9362b64.jpg
Ambapo Julai 20 Neil Armstrong na Buzz Aldrin wakaingia kwenye chombo na kuanza safari kuelekea mwezini

Sisi huku bado wakulima na wafugaji wanakatana mapanga kugombea ardhi hawana habari za kwenda mwezini wala Mars
Na ukiwaambia habari za mwezini wanafikiri ni habari za hedhi
......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom