Makapuku Forum

Makapuku Forum

69646b286f7a72b63c2b289cc4b1d7f6.jpg
878903cbc021eeb7a72676b7983f0e02.jpg
45c219424d13f770d6c0f615af7345af.jpg
Kazaliwa Basel na FC Basel ndo klabu yake iliyomtoa na anatukuzwa balaa
Kachezea pia Rennes na Borrusia Dortmund
Ndiye mfungaji wa muda wote wa timu ya taifa ya Uswis akiwa na goli 42 katika mechi 84 jamaa ana ratio ya 1:2
......
Huyu jamaa ni fundi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom