Makapuku Forum

Makapuku Forum

6435f819dd0442030f5a943b2b1b4a76.jpg
 
ndio maisha yetu ya kiswazi hayooo

Vijana mnaita vigodoro

Sisi enzi zetu tulikuwa tunaita"disco vumbi"
Tulikuwa tunakesha kila New Year pale Mabibo kwa Bibi Cheche na Kigogo au Manzese ila siku hizi imekuwa marufuku
What a stupidity ? maisha magumu halafu tusio na uwezo wa kwenda Night Club hawataki tuburudike kitaa
Hata kujinywea viroba imekuwa mwiko na mchana huruhusiwi kunywa pombe
Bangi nayo imefanywa dawa ya kulevya

WTF


......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom