Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,585
Ili uile lazima uwe Kiongoz,hapo ndo utaila freeeshViongozi wengi ni wala rushwa
Ahsante kamanda wa utafitiWakuu mmeakaje
UTAFITI HEWA
Kila siku huwa ni mpya jitahidi kuwa mpya kila siku
Hatari sanaNdio bitoz mwenyewe huyoo
Ni matumaini yangu kuwa hamjambo na mmeamka salama kabisa wengine mkiwa na hang over kidogo....
Karibuni sana kwenye leo katika historia ambapo asubuhi ya leo italetwa kwenu nami Jimena Jimenes kwa udhamini mkubwa kabisa wa Usher Rymond huko kwenye mbuga ya wanyama ya Serengeti...

Hongera MozillaLeo katika Historia
2003 - kampuni ya Mozilla Foundation inaanzishwa.
Ndio wamiliki wa Mozilla firefox.
Hongera twitterLeo katika Historia
2006 - Mtandao wa Twitter wazaliwa rasmi.
Ni moja kati ya mitandao maarufu na yenye watu wengi sana Duniani.
Mucha gracious JJSina la ziada toka toka katika meza ya historia ikiwa leo ni tarehe 15th July 2017 tukutane tena hapo kesho hapahapa KF kwa udhamini mnono kabisa wa Usher Rymond kule Serengeti National Park.
Niite Jimena Jimenes
Hasta La Vista.
Kama ninavyokufuga wewe
Ni matatizo na kujipa risk tu maana wengine wanavizia nyama
![]()
![]()
![]()
.....
ohooooMornMorning mpendwa wa mtaasisi!
Kitoweo hakijawahi kumuacha mfugaji salamaNzuri mfugaji
Ukawakimbiza hadi ukawapata![]()
![]()
kufuga sio mchezo

Leo katika Historia
2003 - kampuni ya Mozilla Foundation inaanzishwa.
Ndio wamiliki wa Mozilla firefox.
Pole kwa bata kutorokaZa week end wadau ?![]()
Leo bata walitoroka
Binge la timbwili
![]()
![]()
![]()
......