Askari Muoga
JF-Expert Member
- Oct 22, 2015
- 6,112
- 4,663
nataka Demu humu ili makapuku wote muniite shemeji yenu
Hunie[emoji8] [emoji8] [emoji8]Morning nyagei
We cheka tuu[emoji3] [emoji3] [emoji3]
[emoji3] [emoji3]Taratibu..hala hala na mke wa mtu
NdioooEtii yote maishaa[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ushasolve kesi Tcra?nataka Demu humu ili makapuku wote muniite shemeji yenu
Itakuwa ndo fashoooni mpya mjiniHivi hilo sharti alishindwa kuchomekea?
Ama alifikiri amevaa jezi ya yanga?
[emoji3] [emoji3] [emoji3] kazi kweli kweli
Amen...!!Wabarikini wale wanaowatesa, barikini wala msilaani. Furahini pamoja na wenye kufurahi, lieni pamoja na wale waliao.
Kaeni kwa amani ninyi kwa ninyi. Msijivune, bali mwe tayari kushirikiana na wanyonge. Wala msiwe watu wenye kujivuna kwamba mnajua kila kitu. Msimlipe mtu ye yote ovu kwa ovu. Jitahidini ili mtende yaliyo mema machoni pa watu wote. Kama ikiwezekana, kwa upande wenu kaeni kwa amani na watu wote.
Wapendwa, msilipize kisasi, bali ipisheni ghadhabu ya Mungu, maana imeandikwa: “Kisasi ni juu yangu, mimi nitalipa, asema Bwana.” Badala yake: “Adui yako akiwa na njaa, mpe chakula; akiwa na kiu, mnyweshe. Maana ukifanya hivyo, utampalia makaa ya moto yanayowaka kichwani pake.” Usishindwe na ubaya, bali uushinde ubaya kwa wema.
[emoji524] Warumi 12:14-21
Mbarikiwe sana muwe na mchana mwema [emoji7] [emoji7]
My loveHunie[emoji8] [emoji8] [emoji8]
Huu ujio wako mpya sio wa nchii hii ....ila ongeraaaaaaaaWabarikini wale wanaowatesa, barikini wala msilaani. Furahini pamoja na wenye kufurahi, lieni pamoja na wale waliao.
Kaeni kwa amani ninyi kwa ninyi. Msijivune, bali mwe tayari kushirikiana na wanyonge. Wala msiwe watu wenye kujivuna kwamba mnajua kila kitu. Msimlipe mtu ye yote ovu kwa ovu. Jitahidini ili mtende yaliyo mema machoni pa watu wote. Kama ikiwezekana, kwa upande wenu kaeni kwa amani na watu wote.
Wapendwa, msilipize kisasi, bali ipisheni ghadhabu ya Mungu, maana imeandikwa: “Kisasi ni juu yangu, mimi nitalipa, asema Bwana.” Badala yake: “Adui yako akiwa na njaa, mpe chakula; akiwa na kiu, mnyweshe. Maana ukifanya hivyo, utampalia makaa ya moto yanayowaka kichwani pake.” Usishindwe na ubaya, bali uushinde ubaya kwa wema.
[emoji524] Warumi 12:14-21
Mbarikiwe sana muwe na mchana mwema [emoji7] [emoji7]
Amen, Asante kwa neno mtoto wa Mama mchungajiWabarikini wale wanaowatesa, barikini wala msilaani. Furahini pamoja na wenye kufurahi, lieni pamoja na wale waliao.
Kaeni kwa amani ninyi kwa ninyi. Msijivune, bali mwe tayari kushirikiana na wanyonge. Wala msiwe watu wenye kujivuna kwamba mnajua kila kitu. Msimlipe mtu ye yote ovu kwa ovu. Jitahidini ili mtende yaliyo mema machoni pa watu wote. Kama ikiwezekana, kwa upande wenu kaeni kwa amani na watu wote.
Wapendwa, msilipize kisasi, bali ipisheni ghadhabu ya Mungu, maana imeandikwa: “Kisasi ni juu yangu, mimi nitalipa, asema Bwana.” Badala yake: “Adui yako akiwa na njaa, mpe chakula; akiwa na kiu, mnyweshe. Maana ukifanya hivyo, utampalia makaa ya moto yanayowaka kichwani pake.” Usishindwe na ubaya, bali uushinde ubaya kwa wema.
[emoji524] Warumi 12:14-21
Mbarikiwe sana muwe na mchana mwema [emoji7] [emoji7]
Ndo najiuliza huyu ni shunie og au fake ??Amen...!!
Naona umechukua kijiti cha mama mchungaj[emoji4]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Amen, Asante kwa neno mtoto wa Mama mchungaji
Mbona unacheka jamaan[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ubarikiwe dingimtotoAmen...!!
Naona umechukua kijiti cha mama mchungaj[emoji4]
Asante barikiwaHuu ujio wako mpya sio wa nchii hii ....ila ongeraaaaaaaa
Nimejikuta nachekaaaa.....[emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4]Mbona unacheka jamaan