Makapuku Forum

Makapuku Forum

Leo katika Historia

1954 - Mario Kempes anazaliwa.
Ni mwanasoka mahiri toka Nchini Argentina.
7a9adb5afa205ec9bfa7506e97a1cfa9.jpg
2dca7950b864335daf7042667841c2f2.jpg
2b1dda19644c6a1a00f953492f144d2e.jpg

Alikuwa ni straika jembe...kama kawaida ya vimo vifupi vya wachezaji wa Argentina jamaa alikuwa na futi 6 kamili kwao ni mrefu
Ni baba wa watoto watano
Katika mechi ya fainali WC 1978 alifunga goli mbili na kubeba ndo...pia akaondoka na Golden Boot
......
 
TOP TEN
Unampenda mwanamuziki gani?
Mimi kwa bongo namkubali Albert Mangwea a.k.a Ngwair mzee waDakika 3 na kama vipi msikilize kwenye Mitungi,blant,mikasi naamini jamaa ni zaidi ya Kiba na Diamond ila hakuwa na nidhamu ya kukitumia kipaji alochojaaliwa na Mwenyezi Mungu mwisho akafa akiwa teja na maskini
Kwa mamtoni huniambii kitu kwa 20ac Umar Shakur huyu wimbo ambao umenigusa ni Dear Mama wengine ni Michael Jackson mzee wa Thriller bila kumsahau mfalme wangu wa muda woteBob Marley na song lake la I'll shot a shariff....twende sasa
.
Nakuletea wakali kumi waliotikisa dunia
Ni kalist ambalo nimeokotezaokoteza hivyo sitaweza kumridhisha kila mtu
Karibuni
.......
Ahsante
 
Leo katika Historia

1979 - Alexander Frei anazaliwa.
Ni mwanasoka toka nchini Uswizi.
69646b286f7a72b63c2b289cc4b1d7f6.jpg
878903cbc021eeb7a72676b7983f0e02.jpg
45c219424d13f770d6c0f615af7345af.jpg
Kazaliwa Basel na FC Basel ndo klabu yake iliyomtoa na anatukuzwa balaa
Kachezea pia Rennes na Borrusia Dortmund
Ndiye mfungaji wa muda wote wa timu ya taifa ya Uswis akiwa na goli 42 katika mechi 84 jamaa ana ratio ya 1:2
......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom