Obe
Platinum Member
- Dec 31, 2007
- 10,282
- 35,645
Leo katika Historia
1960 - Angelique Kidjo. Mwimbaji mashuhuri toka nchini Benin anazaliwa.
Mkuu Obe baadae ukitulia ntaomba ile ngoma yake inayoitwa Agolo (sina hakika na spelling)
Asante kwa hii info kuhusu Kidjo, ni mshindi wa Grammy huyu na anatajwa sana kuwa ni mwanamuziki maarufu zaidi Africa, anaishi US
Nilimuona akiimba Davos kwenye mkutano wa 'likes' kwenye jukwaa la uchumi. Napenda Wombo Lombo leo nitarusha hiyo Agolo.
Yeye na Youssou ni wanamuziki wanaonivutia sana
BTW, 'mkuu' sio mimi (joke) mimi ni mdau, mtaasisi na ili usichoke sana refer me as Obe