Makapuku Forum

Makapuku Forum

Leo katika Historia

1958 - Mapinduzi ya Iraq yanafanyika na Abd Al-Karim Qasim anakuwa kiongozi wa kwanza wa Taifa hilo baada ya mapinduzi hayo.
878f08ffe839d0a62cbb3c5cd73d75ca.jpg
4140ab11e97d84c434500e7df01cbec3.jpg
0c8a1a154d616f3301bb8f8ec0ec1fa1.jpg

Ndo ukawa mwisho wa utawala wakifalme wa King Faisal I uliosimikwa mwaka 1021
......
 
Leo katika Historia

1913 - Gerald Ford anazaliwa. Ni Rais wa 38 wa Marekani.
Ford anabakia kuwa Rais pekee wa Nchi hiyo kushika nyadhifa ya Makamu wa Rais baadae nyadhifa ya Urais bila kuchaguliwa kwa kura.
Alishika nyadhifa hizo kwa wakati tofauti kutokana na viongozi hao kujiuzulu.
2904e92e868508436d25732a45fb7e36.jpg
9f5e4679a2e22669b5cac02bec50da80.jpg
cbbccf87727625c0550bb7ae2a452955.jpg
Alifariki 2006 akiwa na umri wa miaka 93
......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom