Makapuku Forum

Makapuku Forum

420f1948715590757e37f0188f18aac5.jpg
 
Down syndrome nayo ni miongoni mwa genetic disorder ambayo inshort ni ya kurithi. ..hii ni mojawapo ambayo wengi wanaiterm kana Abnormality kwa binadamu hii ni kwa sababu kama tunavojua chromosome ndo carrier wa genetic materials na zipo za aina nyingi chromosome ambazo zimepewa namba na kila moja ina umuhimu wako ...kwenye kupitia kwangu nilipitia mpaka chromosome ya 44 ...

Ila chromosome ambayo inasababisha hii hali ni chromosome namba 21 ...na hii inatokea endapo kunatokea exta additional of genes kwenye hii chromosome ...hali inayosababisha kuongezeka kwa characteristics za ziada kwenye mwili wa binadamu
Hawa watu ni rahisi kuwagundua ...japo wengine kiukweli mwanzoni maisha yao yalikuwa mafupi ila kutokana na technology hasa upande wa genetic siku hizi wanaishi kwa miaka mingi kidogo...

Hawa watu sifa mojawapo ni kuwa na uwezo mdogo wa kung'amua vitu ila sio mburula japo wengine wanawaterm kama intellectual disability/cognitive delay n.k...

Hapa mtoto akiwa na hali hii kuongea inawachukua mda sana ...wengine tunakimbilia kwa waganga tukidhani wamelogwaa...

Ila na uso kimwonekano unakuwa tofauti na binadamu wa kawaida
Shukrani mdau
....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom