Makapuku Forum

Makapuku Forum

494215b4b22f955fa5eb6b189791d86b.jpg
Hii ni kweli kabisa naunga mkono
 
Down syndrome nayo ni miongoni mwa genetic disorder ambayo inshort ni ya kurithi. ..hii ni mojawapo ambayo wengi wanaiterm kana Abnormality kwa binadamu hii ni kwa sababu kama tunavojua chromosome ndo carrier wa genetic materials na zipo za aina nyingi chromosome ambazo zimepewa namba na kila moja ina umuhimu wako ...kwenye kupitia kwangu nilipitia mpaka chromosome ya 44 ...

Ila chromosome ambayo inasababisha hii hali ni chromosome namba 21 ...na hii inatokea endapo kunatokea exta additional of genes kwenye hii chromosome ...hali inayosababisha kuongezeka kwa characteristics za ziada kwenye mwili wa binadamu
Shukrani mkuu
 
Katika dondoo za bbc.

Zaidi ya watu laki moja na elfu arobaini nchini Kenya asilimia 60 ikiwa ni wanawake wanatarajiwa kufaidi mradi wa miaka mitano wa Umoja wa Ulaya, unaolenga kuimarisha kiwango, ubora na uuzaji wa mihogo katika soko la ndani na la kimataifa.

Jana wapenzi wa Soka katika ukanda wa Afrika Mashariki wameshuhudia mtanange kati ya Everton ya England na Gor Mahia inayojulikana kama KOGALO, ya Kenya.

Barabara kati ya Kenya na mpaka wa Ethiopia wakati mmoja iliogopwa sana kutokana na majangili waliokuwa wakiwapora watu na mifugo. Lakini sasa mji wa mpakani wa Moyale kaskazini mwa Kenya imebadilika na kuwa kituoa muhimu cha kibiashara kutokana na ujezi wa barabara kuu katika eneo hilo.

Simba waliotoroka kutoka katika mbuga ya wanyama ya kruger nchini A-Kusini.Sasa imethibitishwa simba hao wameuwawa na walinzi wa mbuga hiyo baada ya kushindwa kuwadhibiti

Nchini Rwanda kampeni za uchaguzi utakaofanyika mwezi wa 8,zinaanza kutimua vumbi leo na kudumu kwa siku 19.baadhi ya wagombea wanalalamika kuwa muda wa kunadi sera zao ni finyu sana ikizingatiwa na uwezo mdogo kifedha walio nao.

Watu watatu wameuwawa nchini Kenya siku ya jana katika shughuli ya kumwokoa afisa mkuu wa Serikali mikononi mwa Al Shabaab katina eneo la Lamu. Katibu wa kudumu katika wizara ya Kazi za Umma Mariam El Maawy na wengine watano walitekwa nyara na AL Shabaab katika barabara ya mpeketoni kuelekea Lamu.
Alshaabab aisee
 
Moyale siku hizi ni salama sana, zamani ilikuwa vigumu sana kwenda Moyale kwa gari na ukarudi salama

Ndio iliyosababisha Kenya to Ethiopia kutumia ndege tu wakati huo, na ukiikosa Ethiopian airline, lazima uende dubai ndio urudi tena Ethiopia
 
Down syndrome nayo ni miongoni mwa genetic disorder ambayo inshort ni ya kurithi. ..hii ni mojawapo ambayo wengi wanaiterm kana Abnormality kwa binadamu hii ni kwa sababu kama tunavojua chromosome ndo carrier wa genetic materials na zipo za aina nyingi chromosome ambazo zimepewa namba na kila moja ina umuhimu wako ...kwenye kupitia kwangu nilipitia mpaka chromosome ya 44 ...

Ila chromosome ambayo inasababisha hii hali ni chromosome namba 21 ...na hii inatokea endapo kunatokea exta additional of genes kwenye hii chromosome ...hali inayosababisha kuongezeka kwa characteristics za ziada kwenye mwili wa binadamu
Asante kwa ufafanuzi
 
Muziki: Jina Lako Linafanana na Muziki

Ni usiku sasa na muda unakimbia kweli kweli, hizi mbio za leo ni za kuitafuta Furahiday. Pamoja na siku kukimbia sana leo sitoacha kukusalimia Kapuku mheshimika maana salamu ni nusu ya kuonana, wale wa Radio Tanzania Daslam mnakumbuka hili. Usijidai mdogo wakati umezaliwa miaka ya 80, 90s, miaka hii yote RTD ndo ilikuwa radio namba moja na vipindi maarufu vilikuwa Mama na mwana na kile cha Salamu kwa Wagonjwa.

Hivi unajua kuwa uwepo wako hapa unaniongezea maarifa mengi sana, maana najifunza kwa kila unachoandika. mtu makini huheshimu na kujifunza kile ambacho mwingine anaandika au kusema. na hili ndilo linaifanya KF kuwa ni sehemu ya kipekee kabisa, full maarifa, full kuelimishana, full kuloviana, full kujamiiana (socializing stop tantalizing) na zaidi full kuwa pamoja bila kujali nani ni nani.

Muziki sasa, sijachelewa sana leo kuleta muziki na hata kama nimechelewa ni kwa sababu lingekuwa ni tumbo langu peke basi ningewahi lakini kuna matumbo matatu yani nisiporudi nimebeba japo mkate jua staftahi nitastafuhiwa mimi. Kifupi nilikamatika lakini hakijaharibika kitu.

Hivi unajua jina lako linafanana na muziki, ziba pua halafu litamke taratibu, na ukiweza litamke kwa kupiga mluzi (kama una mapengo jaribu mbinu mbadala ya kubananisha fizi na mdomo wa juu, halafu litamke taratibu. Hapo utasikia jina lako linafanana na muziki. Lisipotamkika kimuziki basi inawezekana wakati unaumbwa wazee wako walikuwa wanasikiliza taarifa ya habari.



Kama huamini basi hebu sikiza huu muziki Whats love got to Do, kama hutasikia Husnaaaaa na hii ni kwa husna muba

Nakupenda sana Kapuku

Waooow waooow waooow waooow waooow

Najaribu husnaaaaa go to do go to do.......

Thanks so much mtaasisi kwa burudani ya nguvu

Kwa mbaali nimesikia jina la kipenzi cha Nyagei...... Linamo mama show love kwa KF
 
Heshima? Makapuku? Nilijishushia? Mimi? . Makubwa kwa sababu madogo yana nafuu kwa kweli.

Anyway, ni uzi wenu. Lakini mkianza mambo yenu ya ubaguzi na kujiona bora na "ustaa" wenu huu usiokuwa na kichwa wala miguu nitakuja tu. We na bosi wako wabaguzi wakubwa halafu mkiambiwa ukweli mnakimbilia eti utani. Mtu sijaja kujibishana na mtu hapa miezi leo hii mtu anashambulia kabila halafu anasema kabisa "afadhali lile limtu halipo" halafu eti anasingizia ni utani. Utani my foot!
Shimba ya buyenze umeamkaje

Ngoja nikutoe shaka, bitoz hajaanza leo kuwataja wasukuma au jana, tangu huu uzi umeanza mara nyingi hupenda kutaja wasukuma nani kwa utani si kwamba kwa sababu wewe upo au haupo hapana

Mpaka mimi ilifikia wakati wakati nikawa namtania kwamba lazima aoe msukuma maana si kwa mahaba hayo kwa wasukuma
Kifupi bitoz anawapenda sana wasukuma

Ndio maana hata jana alisema kiutani tu kuwa ile jamaa haipo, akiwa na sababu kuwa uje, na kweli ulikuja, sema ulikuja na tafsiri tofauti
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom