Nyagei
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 13,201
- 44,601
Hii ni kweli kabisa naunga mkono
Hii ni kweli kabisa naunga mkono
Hata kikeke jana ilishindikana, sijui kwenye TV tujaribu wapi, Qtv ya Kenya ilishaondolewa hewani siku nyingi sanaWakuu kwemaaaa. ....
Soon UF ..na dondoo za bbc
Kwa taarifa tuliozoea kupata amka na BBC kupitia rfa tujaribu radio one...
Tra wamefanya yao kwa Rfa
Kwema katibuMorning
Na kwakoo pia mwekahazinaAmani kwako katibu
Shukrani mkuuDown syndrome nayo ni miongoni mwa genetic disorder ambayo inshort ni ya kurithi. ..hii ni mojawapo ambayo wengi wanaiterm kana Abnormality kwa binadamu hii ni kwa sababu kama tunavojua chromosome ndo carrier wa genetic materials na zipo za aina nyingi chromosome ambazo zimepewa namba na kila moja ina umuhimu wako ...kwenye kupitia kwangu nilipitia mpaka chromosome ya 44 ...
Ila chromosome ambayo inasababisha hii hali ni chromosome namba 21 ...na hii inatokea endapo kunatokea exta additional of genes kwenye hii chromosome ...hali inayosababisha kuongezeka kwa characteristics za ziada kwenye mwili wa binadamu
Alshaabab aiseeKatika dondoo za bbc.
Zaidi ya watu laki moja na elfu arobaini nchini Kenya asilimia 60 ikiwa ni wanawake wanatarajiwa kufaidi mradi wa miaka mitano wa Umoja wa Ulaya, unaolenga kuimarisha kiwango, ubora na uuzaji wa mihogo katika soko la ndani na la kimataifa.
Jana wapenzi wa Soka katika ukanda wa Afrika Mashariki wameshuhudia mtanange kati ya Everton ya England na Gor Mahia inayojulikana kama KOGALO, ya Kenya.
Barabara kati ya Kenya na mpaka wa Ethiopia wakati mmoja iliogopwa sana kutokana na majangili waliokuwa wakiwapora watu na mifugo. Lakini sasa mji wa mpakani wa Moyale kaskazini mwa Kenya imebadilika na kuwa kituoa muhimu cha kibiashara kutokana na ujezi wa barabara kuu katika eneo hilo.
Simba waliotoroka kutoka katika mbuga ya wanyama ya kruger nchini A-Kusini.Sasa imethibitishwa simba hao wameuwawa na walinzi wa mbuga hiyo baada ya kushindwa kuwadhibiti
Nchini Rwanda kampeni za uchaguzi utakaofanyika mwezi wa 8,zinaanza kutimua vumbi leo na kudumu kwa siku 19.baadhi ya wagombea wanalalamika kuwa muda wa kunadi sera zao ni finyu sana ikizingatiwa na uwezo mdogo kifedha walio nao.
Watu watatu wameuwawa nchini Kenya siku ya jana katika shughuli ya kumwokoa afisa mkuu wa Serikali mikononi mwa Al Shabaab katina eneo la Lamu. Katibu wa kudumu katika wizara ya Kazi za Umma Mariam El Maawy na wengine watano walitekwa nyara na AL Shabaab katika barabara ya mpeketoni kuelekea Lamu.
Jana kikeke alikuwa anaongea yake sauti inatoka sijui voice of AmericaHata kikeke jana ilishindikana, sijui kwenye TV tujaribu wapi, Qtv ya Kenya ilishaondolewa hewani siku nyingi sana
Naomba unijuzeWhy this jamani,Hv ndio hali ipo hv daah so sad aisee
Cc @Nyagei
Like berries
Asante kwa hadithi, UF na BBC habariTuwe na siku njema...simulizi mpaka kesho leo ni pooooouuuuziiii
Uwe na siku njemaTuwe na siku njema...simulizi mpaka kesho leo ni pooooouuuuziiii
Asante kwa ufafanuziDown syndrome nayo ni miongoni mwa genetic disorder ambayo inshort ni ya kurithi. ..hii ni mojawapo ambayo wengi wanaiterm kana Abnormality kwa binadamu hii ni kwa sababu kama tunavojua chromosome ndo carrier wa genetic materials na zipo za aina nyingi chromosome ambazo zimepewa namba na kila moja ina umuhimu wako ...kwenye kupitia kwangu nilipitia mpaka chromosome ya 44 ...
Ila chromosome ambayo inasababisha hii hali ni chromosome namba 21 ...na hii inatokea endapo kunatokea exta additional of genes kwenye hii chromosome ...hali inayosababisha kuongezeka kwa characteristics za ziada kwenye mwili wa binadamu
Muziki: Jina Lako Linafanana na Muziki
Ni usiku sasa na muda unakimbia kweli kweli, hizi mbio za leo ni za kuitafuta Furahiday. Pamoja na siku kukimbia sana leo sitoacha kukusalimia Kapuku mheshimika maana salamu ni nusu ya kuonana, wale wa Radio Tanzania Daslam mnakumbuka hili. Usijidai mdogo wakati umezaliwa miaka ya 80, 90s, miaka hii yote RTD ndo ilikuwa radio namba moja na vipindi maarufu vilikuwa Mama na mwana na kile cha Salamu kwa Wagonjwa.
Hivi unajua kuwa uwepo wako hapa unaniongezea maarifa mengi sana, maana najifunza kwa kila unachoandika. mtu makini huheshimu na kujifunza kile ambacho mwingine anaandika au kusema. na hili ndilo linaifanya KF kuwa ni sehemu ya kipekee kabisa, full maarifa, full kuelimishana, full kuloviana, full kujamiiana (socializing stop tantalizing) na zaidi full kuwa pamoja bila kujali nani ni nani.
Muziki sasa, sijachelewa sana leo kuleta muziki na hata kama nimechelewa ni kwa sababu lingekuwa ni tumbo langu peke basi ningewahi lakini kuna matumbo matatu yani nisiporudi nimebeba japo mkate jua staftahi nitastafuhiwa mimi. Kifupi nilikamatika lakini hakijaharibika kitu.
Hivi unajua jina lako linafanana na muziki, ziba pua halafu litamke taratibu, na ukiweza litamke kwa kupiga mluzi (kama una mapengo jaribu mbinu mbadala ya kubananisha fizi na mdomo wa juu, halafu litamke taratibu. Hapo utasikia jina lako linafanana na muziki. Lisipotamkika kimuziki basi inawezekana wakati unaumbwa wazee wako walikuwa wanasikiliza taarifa ya habari.
Kama huamini basi hebu sikiza huu muziki Whats love got to Do, kama hutasikia Husnaaaaa na hii ni kwa husna muba
Nakupenda sana Kapuku
Karibu mkuu .ila nimeongezea kidogoAsante kwa ufafanuzi
Shimba ya buyenze umeamkajeHeshima? Makapuku? Nilijishushia? Mimi?. Makubwa kwa sababu madogo yana nafuu kwa kweli.
Anyway, ni uzi wenu. Lakini mkianza mambo yenu ya ubaguzi na kujiona bora na "ustaa" wenu huu usiokuwa na kichwa wala miguu nitakuja tu. We na bosi wako wabaguzi wakubwa halafu mkiambiwa ukweli mnakimbilia eti utani. Mtu sijaja kujibishana na mtu hapa miezi leo hii mtu anashambulia kabila halafu anasema kabisa "afadhali lile limtu halipo" halafu eti anasingizia ni utani. Utani my foot!
Nyagei morningMorning all