Transcend
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 20,553
- 63,058
Shunie..Kupotezea ndio jibu la mjinga mshkaji wangu
Shunie..Kupotezea ndio jibu la mjinga mshkaji wangu
Aisee, nimekupata ankaliHuu utafiti wa leo ni hewa kweli. Mi nakubaliana na wale wanaoongozwa na mwili sababu najua akili tulizonazo ni za kupewa na jamii kitu ambacho kwangu sio sawa.
Mwili wako ndio rafiki yako kwa kweli na siku ukiamua kuutii japo kwa 80% basi maisha yako yatabadilika hadi utashangaa.
Kuna sababu kuwa kwanini tunazuiwa kuitii miili yetu. Sababu hizo ni pamoja na za kiimani na kiutawala. They know exactly kitakachotokea pale tutakapokuwa tunaitii miili yetu.
Rafiki yako wa ukweli hapa duniani ni mwili wako tu, haujawahi kukuangusha na hautakuja kukuangusha no matter what
Why? Kwanini ujiita torvichahahah! mkuu kuna jina langu kwenye hii torvic
Pamoja sana ankaliAsante sana ankali
HBD FordLeo katika Historia
1913 - Gerald Ford anazaliwa. Ni Rais wa 38 wa Marekani.
Ford anabakia kuwa Rais pekee wa Nchi hiyo kushika nyadhifa ya Makamu wa Rais baadae nyadhifa ya Urais bila kuchaguliwa kwa kura.
Alishika nyadhifa hizo kwa wakati tofauti kutokana na viongozi hao kujiuzulu.
HBD WebbLeo katika Historia
1971 - Howard Webb. Mwamuzi wa zamani toka nchini Uingereza anazaliwa.
Asante ankali kwa historiaSina la ziada toka katika maktaba yangu.
Tukutane kesho hapahapa kwa udhamini mnono kabisa wa nguo oversize niite Jimena Jimenes
T G I F
najiita torvic kwasababu torvic ni jina langu.Why? Kwanini ujiita torvic
Abeeeeh T wa dadaShunie..
Uko pouwa kweli?Abeeeeh T wa dada
Alright! Nice to know you bruhnajiita torvic kwasababu torvic ni jina langu.
basi poa mshkaji wangu, siku njema!Kupotezea ndio jibu la mjinga mshkaji wangu
Pamoja sana mdaumdau asante kwa magazeti
Sorry kama umekwazikaMorning wapenzi
jamaan
Kuna vitu vinasikitisha sana humu yaan sana wote humu ni watu wazima ukiona mtu hupendezwi na mwenzako kaa kimya muignore tu jamaan utapungukiwa na nini niliingia jana usiku nikaona na nikapita kimya naona leo vinaendelea
Daa ila me nina roho ya peke yangu jamaan hata unipige fumbo hapo nakupotezea tu kama sijaona
Muwe na siku njema
Nipo poa T sana namshkuru Mungu wewe jeUko pouwa kweli?
Asante kwa kunisaidia..Dada Sakayo jamaan kama nilivyokwambia jana usiku naomba urudishe avatar uliyotoa hiyo mpya inanitisha jaman ujue mpaka sijalala nilikuwa naiota hiyo avatar jamaan siitaki dada
Kama uko pouwa. Jina la Bwana lihimidiwe..Nipo poa T sana namshkuru Mungu wewe je
Kumbe T na we haujaipenda tena nilimwambia asipotoa nagoma kuingia jf anajua utani nimeingia leo bado anayo aendee tu kuiwekaAsante kwa kunisaidia..