Makapuku Forum

Makapuku Forum

Asante kwa hii info kuhusu Kidjo, ni mshindi wa Grammy huyu na anatajwa sana kuwa ni mwanamuziki maarufu zaidi Africa, anaishi US

Nilimuona akiimba Davos kwenye mkutano wa 'likes' kwenye jukwaa la uchumi. Napenda Wombo Lombo leo nitarusha hiyo Agolo.

Yeye na Youssou ni wanamuziki wanaonivutia sana


BTW, 'mkuu' sio mimi (joke) mimi ni mdau, mtaasisi na ili usichoke sana refer me as Obe
Mtaasisi on fleek
 
84ad9de67fa09e135f901d4e329459d6.jpg
b2b44a8b8e39196fd3b08904be316bdc.jpg
9c46f7d5c8b0075f4d9c67ee2b503198.jpg

Mdau One soma ombi halo
......
Nimeisoma kwa ukaribu na uzuri kabisa mdau, asante. Ombi likitoka kwa Jimena lazima liheshimiwe, yeye ni mkuu, sawa sawa
 
Leo katika Historia

1971 - Howard Webb. Mwamuzi wa zamani toka nchini Uingereza anazaliwa.
c100ee57dfde90e6211ca24dc4d221fc.jpg
ed00f870f0439c97f245b5162f37b5b5.jpg
f02c535f2ec39192923911c5f31cc720.jpg

Refa mapenati ni wa Manchester?
Mashabiki wa Utd tunamjua alivyokuwa anatubeba kiasi cha kudaiwa ni "mtu wetu"

Alikuwa pilato wa mechi ya Fainali WC 2010 pale Sauzi akaharibu
Tukio linalokumbukwa ni aliposhindwa kumpa red Nigel de Jong aliyemrukia teke la kifua Xabi Alonso
......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom