Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Morning wapenzi
jamaan
Kuna vitu vinasikitisha sana humu yaan sana wote humu ni watu wazima ukiona mtu hupendezwi na mwenzako kaa kimya muignore tu jamaan utapungukiwa na nini niliingia jana usiku nikaona na nikapita kimya naona leo vinaendelea
Daa ila me nina roho ya peke yangu jamaan hata unipige fumbo hapo nakupotezea tu kama sijaona
Muwe na siku njema
jamaan
Kuna vitu vinasikitisha sana humu yaan sana wote humu ni watu wazima ukiona mtu hupendezwi na mwenzako kaa kimya muignore tu jamaan utapungukiwa na nini niliingia jana usiku nikaona na nikapita kimya naona leo vinaendelea
Daa ila me nina roho ya peke yangu jamaan hata unipige fumbo hapo nakupotezea tu kama sijaona
Muwe na siku njema