BlessedHope
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,988
- 32,649
Morning,hapanaMorning BH.... Hivi umegoma kabisa kuondoa hii
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Sent from my Samsung galaxy s8 brand new using JamiiForum mobile app
Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
Morning,hapanaMorning BH.... Hivi umegoma kabisa kuondoa hii
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Sent from my Samsung galaxy s8 brand new using JamiiForum mobile app
Mbona inawezekanaMorning BH.... Hivi umegoma kabisa kuondoa hii
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Sent from my Samsung galaxy s8 brand new using JamiiForum mobile app
Maisha buana wakati United wako USA kwa Trump Rooney ye yuko Kinyerezi na timu yake ya EvertonAntonio Conte ubingwa ushamlevya anajiona timu imekamilika na kuzubaazubaa tu sokoni
Next season mambo yatakuwa magumu
.....
Inawezekana kabisa kaka akeMbona inawezekana
Maisha buana wakati United wako USA Rooney ye yuko Kinyerezi na timu yake ya Everton
wewe nakugawa bureeeee kwa binamuNaona umeshatoa, wenye tenco wako wengi sana humu JF dadaInawezekana kabisa kaka ake
Hahahahaha maisha ndio yalivyo. Wengine kwa Trump wengine Kinyerezi![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
wewe nakugawa bureeeee kwa binamu

Mi niliiweka ili kumhamasisha BlessedHope atoe ile yake ila wala tatizo hilo sikulipata kabisaNaona umeshatoa, wenye tenco wako wengi sana humu JF dada
Labda hajajua, jinsi ya kutoa, au amependa Tu iwe hivyo mwenyeweMi niliiweka ili kumhamasisha BlessedHope atoe ile yake ila wala tatizo hilo sikulipata kabisa
Leo katika Historia
1934 - Wole Soyinka anazaliwa.
Ni mwandishi mashuhuri wa fasihi barani Afrika anayetokea nchini Nigeria.
Yani wameniudhi sanaAzam itoe aunt ....
Singida ..simba na yanga waliletaa mapuuza ndo imekula kwao sasa leo timu mojawapo ya tz ingelijiandikia historia....Ila na hii ilisababishwa na mipango mibaya ya sportpesa cup wakati timu ya taifa ilikuwa ikijionoa wachezaji wengi hawakuwepo...
Shubaaaamiiiiiitiiiiii

G G M UNUKUU YA LEO
i just want to say a massive thank you to everybody at manchester united,thank you to the board over years, the managers and coache's i hav played under,the staff i hav worked with, the team mates i hav played alongside,and finaly the amazing fans that i hav been lucky to play for . Thank for the memoris
Nitoe shukrani zangu nyingi kwa kila mmoja klabuni Manchester United, wakurugenzi wa bodi kwa miaka niliyokuwa hapa, mameneja na makocha niliofanya nao kazi, stafu niliofanyana nao kazi, wachezaji wenzangu niliocheza nao, na mwisho mashabiki ambao nimebahatika kucheza kwenye klabu yao. Asanteni kwa ukumbusho huu
Haye maneno yametamkwa na mwanasoka wa kiingereza na kipenzi cha klabu ya man united na everton za uingereza Bw. Wayne Mark Rooney .
Rooney alizaliwa October 24 1985 katika jiji la liverpool nchini uingereza.
Rooney amecheza michezo 77 akiwa na everton na kufunga magoli 17 tuu, amecheza mechi 559 na kufunga magoli 253 akiwa na man united.
Rooney anashikilia rekodi ya ufungaji wa magoli mengi zaidi klabuni MUFC na Time ya Taifa.
Leo atakuwa anacheza mechi ya 78 na timu ya Everton dhidi ya Gor mahia ya kenya, baada ya kurudi katika Club yake ya zamani ya Everton.
Leo Baba kai au (R10) au Wazza atakuwa Taifa pale..
![]()
![]()
![]()
Kwa hisani ya Bitoz, shunie, mossolin5, Nyagei na Transcend.
Team OT..
SawasawaaHahahahaha maisha ndio yalivyo. Wengine kwa Trump wengine Kinyerezi![]()
![]()
![]()

Huyu mwana fasihi ni nguli. Kazi zake zitabakia kwenye historia kwa karne![]()
![]()
![]()
Mmoja kati ya watunzi/waandika vitabu wa muda wote barani Afrika kama wewe Ni mvivu kusoma maandishi basi huwezi kuelewa
Kutokana na kalamu yake kuwa ya moto serikali ya Nigeria ikawa inamwinda kama digidigi hivyo kukimbilia uhamishoni
Akawa Mhadhiri kwenye chuo kikuu huko Marekani na kuendelea kuandika vitabu kwa Uhuru zaidi![]()
Wakati wa Uchaguzi wa Marekani akatamka hadharani Kichaa na mbaguzi Donald Trump akishinda atasepa maana hawezi kuongozwa na huyo shizi...
Na kweli akasepa na kurudi nyumbani
Ni mtu wa msimamo !!!
......
PosibblyLabda hajajua, jinsi ya kutoa, au amependa Tu iwe hivyo mwenyewe
Hahahahaha LukuNdo hapo sasa na kucheza usiku wenye uwanja wao wanaona kama vile wanamaliza umeme
......
Leo katika Historia
1942 - Harrison Ford anazaliwa.
Ni mwigizaji maarufu toka nchini Marekani na moja kati ya movie zake ni " Air Force One "
A Grain Of Wheat,The River Between,Betrayal In The City,Chike And The River,I'll Mary When I Want .....Kwa waliosoma sayansi A level fasihi imewapita kushoto japo mimi sikusoma HGL,HKL wala HGK Ila vitabu nilisoma Kwa kuibia kwa washikaji pia LibraryHuyu mwana fasihi ni nguli. Kazi zake zitabakia kwenye historia kwa karne
Pamoja na Chinua Achebe na Ngungi wa Thiong'o
Waoooo..... Asante sana. Mimi nikikuona mapigo ya moyo yanadunda yakiita Jimena, Jimena, Jimena.Hata mimi yani nikikuona basi moyo wote kwatuuuuu
Kwema lakini dada?Posibbly