Makapuku Forum

Makapuku Forum

Leo katika Historia

1934 - Wole Soyinka anazaliwa.
Ni mwandishi mashuhuri wa fasihi barani Afrika anayetokea nchini Nigeria.
86b46fc7dbd3b6dc10afe79c7428036c.jpg
b4c556450092b4c04c848e19e86da6ed.jpg
c3f9b5b1566abcc0e9244ad71022fcbc.jpg

Mmoja kati ya watunzi/waandika vitabu wa muda wote barani Afrika kama wewe Ni mvivu kusoma maandishi basi huwezi kuelewa
Kutokana na kalamu yake kuwa ya moto serikali ya Nigeria ikawa inamwinda kama digidigi hivyo kukimbilia uhamishoni
f110221c235b27d421af7e432e366589.jpg
846333a6df99442bc790467b4d1f2805.jpg
Akawa Mhadhiri kwenye chuo kikuu huko Marekani na kuendelea kuandika vitabu kwa Uhuru zaidi
Wakati wa Uchaguzi wa Marekani akatamka hadharani Kichaa na mbaguzi Donald Trump akishinda atasepa maana hawezi kuongozwa na huyo shizi...
Na kweli akasepa na kurudi nyumbani
Ni mtu wa msimamo !!!
......
 
Azam itoe aunt ....

Singida ..simba na yanga waliletaa mapuuza ndo imekula kwao sasa leo timu mojawapo ya tz ingelijiandikia historia....Ila na hii ilisababishwa na mipango mibaya ya sportpesa cup wakati timu ya taifa ilikuwa ikijionoa wachezaji wengi hawakuwepo...


Shubaaaamiiiiiitiiiiii
Yani wameniudhi sana
Hizi nafasi sio za kufanyia makosa kabisa
 
NUKUU YA LEO

i just want to say a massive thank you to everybody at manchester united,thank you to the board over years, the managers and coache's i hav played under,the staff i hav worked with, the team mates i hav played alongside,and finaly the amazing fans that i hav been lucky to play for . Thank for the memoris

Nitoe shukrani zangu nyingi kwa kila mmoja klabuni Manchester United, wakurugenzi wa bodi kwa miaka niliyokuwa hapa, mameneja na makocha niliofanya nao kazi, stafu niliofanyana nao kazi, wachezaji wenzangu niliocheza nao, na mwisho mashabiki ambao nimebahatika kucheza kwenye klabu yao. Asanteni kwa ukumbusho huu


Haye maneno yametamkwa na mwanasoka wa kiingereza na kipenzi cha klabu ya man united na everton za uingereza Bw. Wayne Mark Rooney .

Rooney alizaliwa October 24 1985 katika jiji la liverpool nchini uingereza.

Rooney amecheza michezo 77 akiwa na everton na kufunga magoli 17 tuu, amecheza mechi 559 na kufunga magoli 253 akiwa na man united.

Rooney anashikilia rekodi ya ufungaji wa magoli mengi zaidi klabuni MUFC na Time ya Taifa.

Leo atakuwa anacheza mechi ya 78 na timu ya Everton dhidi ya Gor mahia ya kenya, baada ya kurudi katika Club yake ya zamani ya Everton.

Leo Baba kai au (R10) au Wazza atakuwa Taifa pale..
f3e7f9f9790935c743999348edc2a038.jpg
a59cc6376bd588bc61d27f0d99fce0fb.jpg

894cf14c114482d21a44de925bbf77a5.jpg


Kwa hisani ya Bitoz, shunie, mossolin5, Nyagei na Transcend.

Team OT..
G G M U
 
86b46fc7dbd3b6dc10afe79c7428036c.jpg
b4c556450092b4c04c848e19e86da6ed.jpg
c3f9b5b1566abcc0e9244ad71022fcbc.jpg

Mmoja kati ya watunzi/waandika vitabu wa muda wote barani Afrika kama wewe Ni mvivu kusoma maandishi basi huwezi kuelewa
Kutokana na kalamu yake kuwa ya moto serikali ya Nigeria ikawa inamwinda kama digidigi hivyo kukimbilia uhamishoni
f110221c235b27d421af7e432e366589.jpg
846333a6df99442bc790467b4d1f2805.jpg
Akawa Mhadhiri kwenye chuo kikuu huko Marekani na kuendelea kuandika vitabu kwa Uhuru zaidi
Wakati wa Uchaguzi wa Marekani akatamka hadharani Kichaa na mbaguzi Donald Trump akishinda atasepa maana hawezi kuongozwa na huyo shizi...
Na kweli akasepa na kurudi nyumbani
Ni mtu wa msimamo !!!
......
Huyu mwana fasihi ni nguli. Kazi zake zitabakia kwenye historia kwa karne
Pamoja na Chinua Achebe na Ngungi wa Thiong'o
 
Huyu mwana fasihi ni nguli. Kazi zake zitabakia kwenye historia kwa karne
Pamoja na Chinua Achebe na Ngungi wa Thiong'o
A Grain Of Wheat,The River Between,Betrayal In The City,Chike And The River,I'll Mary When I Want .....Kwa waliosoma sayansi A level fasihi imewapita kushoto japo mimi sikusoma HGL,HKL wala HGK Ila vitabu nilisoma Kwa kuibia kwa washikaji pia Library
...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom