Makapuku Forum

Makapuku Forum

NUKUU YA LEO

i just want to say a massive thank you to everybody at manchester united,thank you to the board over years, the managers and coache's i hav played under,the staff i hav worked with, the team mates i hav played alongside,and finaly the amazing fans that i hav been lucky to play for . Thank for the memoris

Nitoe shukrani zangu nyingi kwa kila mmoja klabuni Manchester United, wakurugenzi wa bodi kwa miaka niliyokuwa hapa, mameneja na makocha niliofanya nao kazi, stafu niliofanyana nao kazi, wachezaji wenzangu niliocheza nao, na mwisho mashabiki ambao nimebahatika kucheza kwenye klabu yao. Asanteni kwa ukumbusho huu


Haye maneno yametamkwa na mwanasoka wa kiingereza na kipenzi cha klabu ya man united na everton za uingereza Bw. Wayne Mark Rooney .

Rooney alizaliwa October 24 1985 katika jiji la liverpool nchini uingereza.

Rooney amecheza michezo 77 akiwa na everton na kufunga magoli 17 tuu, amecheza mechi 559 na kufunga magoli 253 akiwa na man united.

Rooney anashikilia rekodi ya ufungaji wa magoli mengi zaidi klabuni MUFC na Time ya Taifa.

Leo atakuwa anacheza mechi ya 78 na timu ya Everton dhidi ya Gor mahia ya kenya, baada ya kurudi katika Club yake ya zamani ya Everton.

Leo Baba kai au (R10) au Wazza atakuwa Taifa pale..
f3e7f9f9790935c743999348edc2a038.jpg
a59cc6376bd588bc61d27f0d99fce0fb.jpg

894cf14c114482d21a44de925bbf77a5.jpg


Kwa hisani ya Bitoz, shunie, mossolin5, Nyagei na Transcend.

Team OT..
Rooney siyo kipenzi cha Waingereza
Ila data zinawaumbua Waingereza...

Rooney hapewi heshima anayostahili tofauti na akina Michael Owen & David Beckham ambao ni vipenzi wa Waingwerza pengine na Alan Shearer
80986e39ed90ce6e52c32ecc691ed2d4.jpg
d3bbe6b12754e1770bbb4f692327534c.jpg
9621818883df2bcdc096814b2c6d70db.jpg


Man Utd nao watamjengea sanamu na kumuongeza pale kwenye The United Trinity(Utatu Mtakatifu) yaani Mara waliojengewa akina Sir Bobby Chalton,George Dickie Best na Dennis Law au wamuondoe mmoja ?
Sidhani
Ila Kwa data Wazza ana kila kitu
Thank You Legend
.......
 
1
Chelsea msimu huu wanazengua kufanya maamuzi ya usajili ....Bakayoko ndo hivo kila siku maneno ...

Ila mfano dili imetikiiii....

Weka kwanza akilini kwanza ..Hazard akae winga , Pedro/willian ndani ...moses ndaniiii ....alonsoo ndaniiiii ...Mkata umeme Kantelee ndaniiiii ....sijamaliza Bakayoko ndaniiiiiii ....bwanabwanaaaaaaa nyuma sina hata la kuongeza mawazir wa ulinzi wanajitoshelezaa....
32131f4eff129d582f6a5c3f5a9988cf.jpg
0c098f5527f8878c504cebbcb6d960cf.jpg


Turudi kwenye mada ....spidi za huyu jamaaa weka vyengaa vya Hazard na shoto la pedro .....hasikwambie mtu tutachukiwa na wengiii


Nawaza tu ....


Ila cha kufanya ngoja nifanye ku subscribe kwenye acount zake ...
68cc188a108240efdf4ec19848772a9b.jpg

cdbb0b7de29e57bec8c0533dd0eb2c52.jpg
Ngoja tusubiri msimu uanze
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom