Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
AsanteAsante Lee
AsanteAsante Lee
Kweli kabisaNaamini nyote mmeamshwa salama
Pamojaaa sanaAsante kwa Simulizi UF na dondoo za bbc Rafiki kipenz.
Huyu mdudu shida sio kula tu bali anapiga hatariUF...
![]()
Mwanzo nilifikiri mechi ya Everton ni week end nikapamga nitafute tiketi kumbe ni Leo kazi kweli kweli sitakwendaIn summary. ...
Aliyekuwa rais wa Brazil, Luiz Ignacio Lula da Silva, amehukumiwa kifungo cha miaka tisa kwa mashtaka ya ufisadi.
Leo klabu ya soka ya Everton kutoka Uingereza inacheza mchezo wa kirafiki wa kimataifa na Timu ya Gor Mahia kutoka Nchini kenya
Mashindano ya riadha yanaendelea nchini Nairobi, Nchini Kenya, mamia ya vijana hufanya mazoezi kila siku ili kupata nafasi ya kuiwakilisha nchi.
Malkia wa rhumba duniani Mbilia Bel alikonga nyoyo za washabiki wake alipozuru Kenya wiki iliyopita , na kuwatumbuiza jijini Nairobi na Kisumu..
UchocheziKumbe alipomdunda dansa wake hafharani pale Nairobi ilikuwa sawa tu
![]()
![]()
![]()
.....

Hiyo ya mwanamke kutupwa jela huko kwa Malkia ni balaa tupu
TumeAmka salama kabisa, habari ya asubuhi?Naamini nyote mmeamshwa salama
Asante sana kwa magazeti Uncle wangu wa dhahabuView attachment 540937Kwa udhamini mnono wa Wayne Rooney kuja Tanzania na timu ya evaton na kuitangaza nchi yetu
Nawatakieni siku njema Mbarikiwe sana makapuku wote
Hizi ngonjera tu wala hakuna ajira mpya
Asante kwa hadithi, UF pamoja na dondoo za BBCTuwe na siku njema. ...muhimu tusijisahaulishe majukumu ya msingi ....![]()

Jitahidi sema ukichanganya na foleni zenu huko kaz kweli kweliiii...hope walifata ratba za EvertonMwanzo nilifikiri mechi ya Everton ni week end nikapamga nitafute tiketi kumbe ni Leo kazi kweli kweli sitakwenda
.
.
.
.
Shukrani mdau
Asubuhi njema
.....
MorningMorning family.....
Leo katika historia itawajia hivi punde tu....
Ahsante mdauView attachment 540937Kwa udhamini mnono wa Wayne Rooney kuja Tanzania na timu ya evaton na kuitangaza nchi yetu
Nawatakieni siku njema Mbarikiwe sana makapuku wote
Asante mkuuShululu kwa magazeti ubarikiweView attachment 540937Kwa udhamini mnono wa Wayne Rooney kuja Tanzania na timu ya evaton na kuitangaza nchi yetu
Nawatakieni siku njema Mbarikiwe sana makapuku wote
Antonio Conte ubingwa ushamlevya anajiona timu imekamilika na kuzubaazubaa tu sokoni1
Chelsea msimu huu wanazengua kufanya maamuzi ya usajili ....Bakayoko ndo hivo kila siku maneno ...
Ila mfano dili imetikiiii....![]()
![]()
![]()
Weka kwanza akilini kwanza ..Hazard akae winga , Pedro/willian ndani ...moses ndaniiii ....alonsoo ndaniiiii ...Mkata umeme Kantelee ndaniiiii ....sijamaliza Bakayoko ndaniiiiiii ....bwanabwanaaaaaaa nyuma sina hata la kuongeza mawazir wa ulinzi wanajitoshelezaa....![]()
![]()
Turudi kwenye mada![]()
![]()
....spidi za huyu jamaaa weka vyengaa vya Hazard na shoto la pedro .....hasikwambie mtu tutachukiwa na wengiii
Nawaza tu ....
Ila cha kufanya ngoja nifanye ku subscribe kwenye acount zake ...![]()
![]()
Mungu mwema mimi mzima kabisaaNaamini nyote mmeamshwa salama
Asante Morning dearMorning family.....
Leo katika historia itawajia hivi punde tu....