Ndo hapo sasa na kucheza usiku wenye uwanja wao wanaona kama vile wanamaliza umemeJitahidi sema ukichanganya na foleni zenu huko kaz kweli kweliiii...hope walifata ratba za Everton
Heri ya siku ya kuzaliwa Wole SoyinkaLeo katika Historia
1934 - Wole Soyinka anazaliwa.
Ni mwandishi mashuhuri wa fasihi barani Afrika anayetokea nchini Nigeria.
Sio yeye mkuu make ata alivotoka likizo kwenye press conference aliongelea kutotimizwa kwa matakwa aliyoomba na mkataba wake alikuwa amegoma kuongeza kwa sababu ya mambo ya bodi ya usajiliAntonio Conte ubingwa ushamlevya anajiona timu imekamilika na kuzubaazubaa tu sokoni
Next season mambo yatakuwa magumu
.....
Heri ya siku ya kuzaliwa Harrison FordLeo katika Historia
1942 - Harrison Ford anazaliwa.
Ni mwigizaji maarufu toka nchini Marekani na moja kati ya movie zake ni " Air Force One "
Heri ya siku ya kuzaliwa Michael SpinksLeo katika Historia
1956 - Michael Spinks bondia wa ngumi toka nchini Marekani anazaliwa.Inasemekana mkono wake wa kushoto ulikuwa na nguvu ya hatari.
Heri ya siku ya kuzaliwa Craig BellamyLeo katika Historia
1979 - Craig Bellamy mchezaji wa mpira wa zamani wa Liverpool, Man City na Wales anazaliwa.
Alisifika sana kwa ukorofi enzi anacheza mpira.
Pumzika kwa amani Seretse KhamaLeo katika Historia
1980 - Seretse Khama, Rais wa kwanza wa Botswana anafariki Dunia.
Ndo hapo sasa na kucheza usiku wenye uwanja wao wanaona kama vile wanamaliza umeme
......
wanabana matumiziii ....ila kiukweli ni sawa na bure buku tatu ila nachojua bajeti ya kuileta Everton sio kwa waandaaji wasitudanganye ...ni ratiba za Everton kwa pre season
AsanteeSina la ziada toka kwenye maktaba yangu siku ya leo ya tarehe 13/7/2017 tukutane kesho kwa udhamini wa nguvu kabisa wa Rooney. Niite Jimena Jimenes
Muwe na siku njema yenye furaha tele
Na leo uje tena basi....... I real miss yaMiss you too Jimena.
Basi jana nimepuyanga humu peke yangu nasoma thread mbalimbali.


Karibu ankaliAsantee
Kwahiyo hizi timu zetu (Yanga ,Simba & Azam)zimeshindwa kukipiga na Everton???![]()
![]()
![]()
wanabana matumiziii ....ila kiukweli ni sawa na bure buku tatu ila nachojua bajeti ya kuileta Everton sio kwa waandaaji wasitudanganye ...ni ratiba za Everton kwa pre season
Azam itoe aunt ....Kwahiyo hizi timu zetu (Yanga ,Simba & Azam)zimeshindwa kukipiga na Everton???
Morning BH.... Hivi umegoma kabisa kuondoa hiiAsante Morning dear
Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app