Makapuku Forum

Makapuku Forum

Leo katika Historia

1980 - Seretse Khama, Rais wa kwanza wa Botswana anafariki Dunia.
6b4061a041b85ad3061a2fdbd55e9bf4.jpg
ff5f49543c42e8ed3c3171a7df9a9800.jpg
b908bafbc4472a2a040cf7646e3d23dd.jpg

At age of 59
Alikuwa Rais kuanzia Septemba 30 1966 hadi mauti yalipomkuta akiwa madarakani
First Lady alikuwa mweupe
....
 
wanabana matumiziii ....ila kiukweli ni sawa na bure buku tatu ila nachojua bajeti ya kuileta Everton sio kwa waandaaji wasitudanganye ...ni ratiba za Everton kwa pre season
Achana nao
Nasubiri game za Man Utd pre season nacheki zote AzamTv hata kama ni Usiku wa maneno na alfajiri ...kitaeleweka tu
Kwangu soka !!
.....
 
d4f93e4c340b685d0842e47be213261f.jpg
e9da365f7807f96d7ba7facea3bf2b4c.jpg
Jamaa ni mkorofi mwenye kipaji
9a89cb2b4009c93c329a5eee0564a2bd.jpg
Mnaikumbuka hii?
Ilikuwa ni baada ya kukorofisha na mchezaji mwenzie kabla ya mechi(nadhani John Arne Rise) sasa Bellamy sijui Bellamy akampiga mwenzie
Siku ya mechi nahisi UCL akafunga na kushangilia Kwa style hiyo akiigiza tukio lilitokea
.....
Hahahahaha huyu kweli alikuwa mtata
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom