Makapuku Forum

Makapuku Forum

Swali kwa wanawake;

Cc Shunie na husna muba BlessedHope


Kwanini siku hizi wanawake wengi wanajifungua kwa operation?

NB;

Kuna tetesi zinadai Hospitali za Private zina-influance mtu afanyiwe operation ili wao wapige hela tofauti na hospitali za serikali?

Kujifungua kwa operation Private ni 1.8million hadi 4 milion?

Sasa whats going on behind these? kuna ukweli?
Kwangu hiyo mpya mi ninavyoelewa operation hufanyika baada ya jitihada za kujifungua kawaida kushindikana
 
4/Kenya
0d6c5a4709e955b2df7e055ac8aebf0d.jpg
3c21fcd7017853a4b76e2b0353061586.jpg
3ed369ddd08fcba310d97e35ba5570b1.jpg
Majirani zetu hawa ni watu wa majivuno ila ni wachakarikaji na maisha
Kila kitu chetu kizuri wanadai ni chao ila UKIMWI kweli ni wa kwao !!
Wakenya wapo takribani 48,000,000 na mwaka huu walitegemea kufanya uchaguzi Mkuu
Ukimwi kwao ni janga pia japo wapo vizuri kiuchumi
Wakenya wenye ngoma wapo 1,500,000
........
 
4/Kenya
0d6c5a4709e955b2df7e055ac8aebf0d.jpg
3c21fcd7017853a4b76e2b0353061586.jpg
3ed369ddd08fcba310d97e35ba5570b1.jpg
Majirani zetu hawa ni watu wa majivuno ila ni wachakarikaji na maisha
Kila kitu chetu kizuri wanadai ni chao ila UKIMWI kweli ni wa kwao !!
Wakenya wapo takribani 48,000,000 na mwaka huu walitegemea kufanya uchaguzi Mkuu
Ukimwi kwao ni janga pia japo wapo vizuri kiuchumi
Wakenya wenye ngoma wapo 1,500,000
........
Africa mashariki kibokoo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom