Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Kweli kabisaAsante Lee,Mungu mwema katuamsha salama tumshukuru
Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
Kweli kabisaAsante Lee,Mungu mwema katuamsha salama tumshukuru
Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
Aliyekuwa rais wa Brazil, Luiz Ignacio Lula da Silva, amehukumiwa kifungo cha miaka tisa kwa mashtaka ya ufisadi.
Leo klabu ya soka ya Everton kutoka Uingereza inacheza mchezo wa kirafiki wa kimataifa na Timu ya Gor Mahia kutoka Nchini kenya
Mashindano ya riadha yanaendelea nchini Nairobi, Nchini Kenya, mamia ya vijana hufanya mazoezi kila siku ili kupata nafasi ya kuiwakilisha nchi.
Malkia wa rhumba duniani Mbilia Bel alikonga nyoyo za washabiki wake alipozuru Kenya wiki iliyopita , na kuwatumbuiza jijini Nairobi na Kisumu..
Asantee mama mchungaji na karibuAsante kwa hadithi Uf Bbc ubarikiwe Lee
Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
Asante kwa neno la uzima, mama mchungajiYEREMIA 17
7.Amebarikiwa mtu yule anayemtegemea BWANA,ambaye BWANA ni tumaini lake,
8 .Maana atakuwa kama mti uliopandwa kando ya maji,Uenezao mizizi yake karibu na mto;Hautaona hofu wakati wa hari ujapo Bali jani lake litakuwa bichi Wala hautahangaika mwaka wa uchache wa mvua wala hautaacha kuzaa matunda.
BABA asante kutuamsha salama,tulinde tena siku yaleo,tuondoolee makosa yetu tutakase,bariki wasafiri,watoto mashuleni,ponya wagonjwa wafariji wafiwa na yatima mpe kila mmoja wetu hapa MAKAPUKU haja ya moyo wake,tujalie amani tunaomba katika jina la Yesu Amen
NAWATAKIA SIKU NJEMA MBARIKIWE![]()
![]()
![]()
Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
Kumekucha salama kabisa, karibu sanaWakuu kumekucha salama ....
Soon UF na dondoo za bbc bila kusahau simulizi. ......
HakikaAsante Lee,Mungu mwema katuamsha salama tumshukuru
Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
HaaaaahaaaaTafakar ya kirat. ..![]()
Asante kwa hadithi, UF na BBC newsTuwe na siku njema. ...muhimu tusijisahaulishe majukumu ya msingi ....![]()
Asante mkuu ShululuTUPATE DONDOO ZA MAGAZETI YA LEO
Ubarikiwe mtu wa MunguKumekucha watu wa Mungu
Ubarikiwe sanaAsante kwa neno la uzima, mama mchungaji