Makapuku Forum

Makapuku Forum

1c045d0868fa717e30803d1288355d92.jpg
Ni jambo rahisi tu kama dhamira yako ni kuweka tu rekodi na mfukoni kupo swaafi na una afya njema
.......
 
😎 Rais wa Nigeria, Muhammadu Buhari ambae yuko London kwa ajili ya matibabu, amefanya mkutano wake wa kwanza na anaekaimu nafasi hiyo kwa miezi miwili sasa.

😎 Mashindano ya riadha ya dunia ya IAAF kwa vijana wasiozidi umri wa miaka 18 yanaanza hii leo jiji Nairobi Kenya

😎 Nchini Rwanda kuna mradi wa kutengeneza sodo zinazopatikana kwa bei chee ambazo hutengenezwa kwa nyuzi zitokanazo na mabaki ya migomba.

😎 Malaria bado ni changamoto katika nchi nyingi barani Afrika, huko nchini Tanzania kwa mujibu wa wizara ya Afya takribani watu milioni 18 huugua ugonjwa wa malaria kila mwaka. Katika kupambana na ugonjwa huo shirika la Afya la ifakara wamebuni mbinu mpya ikiwemo utengenezaji wa viatu vyenye kinga ya mbu hususani wakati wa mchana.

😎 kuna taarifa ya uwepo wa kampuni moja inayotengeneza viatu vya kwanza vya riadha kubuniwa nchini Kenya..
Ahsante mdau
Sihitaji hata kuangalia kwenye TV

Asubuhi njema
.......
 
Darasa huru la kapuku .... (DHK)


Mambo mazuri yanapatikana kwetu kuanzia utani , elimu na kila kitu kinachohusu maisha kinapatikana ....wengi wanaingia kupata mambo adimu ili kuwasaidia na sisi kutusaidia ...

Kwa nini tusiwe na kakipengele kama haka ....Darasa huru la kapuku kila mtu kuweza kutushirikisha alichonacho najua wapo wataalam wa sheria , uchumi ,mapenzi, maisha , n.k...mfano mda mzuri wa jioni baada ya kumaliza zile ratiba zetu tunakuwa na kitu kama hiki ....na kuruhusu kuuliza maswali mbalimbali na kusaidiana kujibu ....ila yasiwe maneno make humu na wanasiasa wapo wengi tunahaidiana na kuishia hewani...

Ni wazo wala sio upuuzi wa lee ...

Naweka mfano wa mistar michache soon
 
NUKUU YA LEO

A friend is someone who gives you total freedom to be yourself

Rafiki ni mtu ambaye anakupa uhuru kamili wa kuishi kama wewe


Haya maneno yaliwakusemwa na mwanamshairi wa kimarekani James Douglas ama jim morrison .

Jim morrison alizaliwa Dec. 8 1943 na kufariki July 3 1943.

Jim morrison alifariki nchini ufaransa kwa kile kinachosemekana kuwa ni Shambulio la Moyo.

Jim alikutwa akiwa amefariki bafuni kwake.

Be a friend! Live your life! Enjoy the short moment you have..

Life is too short..!

ef6f959eb0ab646f0fed1797a68b7aa7.jpg

9bc1d169e29b9441fa340bbacbfbc142.jpg
Ahsante mdau
Tulimiss nukuu zako
......
 
Mfano ...DARASA HURU LA KAPUKU

JE WAJUA UBONGO WA BINADAMU UNAKUWA ACTIVE KIPINDI UMELALA /KUSINZIA KULIKO UKIWA MACHO ??

Ni ukweli husiopingika kuwa ubongo wa binadamu unakuwa active sana mda wa usiku au umelala kulinganisha na kipindi hujaupunyuaa ....ndiioo hujalala

Wewe ukiwa unajua umelala kumbe ndo ubongo uko bize kuliko unavyozania hii ni kutokana na ukweli kwamba neuronal system ambazo ndo zinahusika sana na hii hali zinakuwa active kuliko ....isodentritic core ambazo zinastretch kuanzia kwenye medulla kwenda mpaka kwenye hypothalamus hadi kufikia ubongo wa mbele zinasaidia sana .....


Ni mfano tu wa DHK
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom