EMMYGUY
JF-Expert Member
- Aug 6, 2015
- 11,115
- 25,414
Naguna maana sina uhakika wa wewe kumuoa miss chagga.unaguna nini? Na huko Congo nani amekufa?
Huko Congo kuna msiba wa Papa Wemba, tayari werrason anatuwakirisha vyema Makapuku.
Naguna maana sina uhakika wa wewe kumuoa miss chagga.unaguna nini? Na huko Congo nani amekufa?
Khaaa hatar gan!Mkuu huyu pia ni Me.
Tahadhari kabla ya hatari.
Hata mimi ilinitokea, wali-like zaidi ya mara mbili na hiyo ilikuwa nimecomment kichekesho ndo wakagonga likes. Nilirudia mara mbili mbili kuziangalia.Me nishawahi kugongewa LIKE na Maxence Melo na Invisible ...hizi ndo like nzito siku ukizipata inabidi ufanye sherehe
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
.................
Mkuu tunapishana sanaWacha tuendelee kukuwezesha maadam umetoka kundi hili sifa yako ni yetu pia..Unatuwakilisha vema kabisa shemeji.
Manuu unateta mpakwa mafuta!Wacha niwaeleweshe maana kwangu naona afadhali wao kidogo kuliko mtumish...
Nimekupenda bure, tukumbushie enzi zilee...Ninong'oneze shemdarling

Ni nzuri braza, karibu tena kwa j'mosi ingine.habari za weekend wadau.
Mkuu umekuwa adimu sana kijiweni hapa siku hizi...Manuu unateta mpakwa mafuta!
Nautafuta uso wa Bwana..mtafuteni Bwana maadam anapatikani,mwiteni maana yu karibuMkuu umekuwa adimu sana kijiweni hapa siku hizi...
2. youngbloodKama upo online jiandike jina hapa;
1. Jambilo
Ngoja aje umsikie mwenyewe.Tembo wanakunywa maji..... Piga kelele tuu mkuu ha haahah