Makapuku Forum

Makapuku Forum

Nautafuta uso wa Bwana..mtafuteni Bwana maadam anapatikani,mwiteni maana yu karibu
Mkuu nakukubali sana ila kuutafuta uso wa bwana pekee haitoshi soma mstari huu:“ikiwa watu wangu, walioitwa kwa jina langu, watajinyenyekesha, na kuomba, na kunitafuta uso, na kuziacha njia zao mbaya; basi, nitasikia toka mbinguni, na kuwasamehe dhambi yao, na kuiponya nchi yao” (2Nyak:7:14)
 
47f9fa2215e1092ab16c33c1dda8692f.jpg
b5249be4e53ba1da0f3e04e2f939ea11.jpg
0eb66a3b13ef02a6a5f93f3c294051e7.jpg
5c41654ff7df1a1210d58e3863d32076.jpg

TOP 20 LIKES JF
..............
Naona list imekaliwa na Makapuku.
 
Mkuu nakukubali sana ila kuutafuta uso wa bwana pekee haitoshi soma mstari huu:“ikiwa watu wangu, walioitwa kwa jina langu, watajinyenyekesha, na kuomba, na kunitafuta uso, na kuziacha njia zao mbaya; basi, nitasikia toka mbinguni, na kuwasamehe dhambi yao, na kuiponya nchi yao” (2Nyak:7:14)
Mkuu unakosea, hapa kwa neno ndio kwenye japo neno la kusimamia ni tofauti na hilo..niko zab 51 yote
Mkuu nakukubali sana ila kuutafuta uso wa bwana pekee haitoshi soma mstari huu:“ikiwa watu wangu, walioitwa kwa jina langu, watajinyenyekesha, na kuomba, na kunitafuta uso, na kuziacha njia zao mbaya; basi, nitasikia toka mbinguni, na kuwasamehe dhambi yao, na kuiponya nchi yao” (2Nyak:7:14)
 
Tatizo lako sjui ni ushamba!
Ukiona nataniana na watu wewe una mind!
Hapana Mtumish wewe ukiwa kama mtumish mwenye heshima kubwa na kundi kubwa unalo liongoza haipaswi uwe na utani wa kuwatega haswa hawa dada zetu..Kwan tumeshaambia ni viumbe dhaifu sasa wewe unafanya utani wa kuwatia majaribun..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom