EMMYGUY
JF-Expert Member
- Aug 6, 2015
- 11,115
- 25,414
Hahahaa...Naona unatest kina cha maji kwa miguu.
Kuwa Jf ni raha sana asee.
Hahahaa...Naona unatest kina cha maji kwa miguu.
youngblood na sumbai mnakosea sana ukitaka ufanikiwe kumpata dada mtu jenga urafiki na kaka mtu kwanza...Sister hana noma naweza muambia sister leo twende club then tukiwa kule tunajifanya ndiyo tumekutana kwa bahat mbaya then unapata fursa ya kutema madini..Bro huyo sumbai na Youngblood wananisarandia Sana achana nao
Hizi ni dalili nzuri sana kwangu, kwasababu siku zote naamini watoto wanaojifanya wagumu ni rahisi sana kuingia kwenye himaya yangu.Kwa sababu najua huna ubavu huo
Tatizo hawayajui hayoyoungblood na sumbai mnakosea sana ukitaka ufanikiwe kumpata dada mtu jenga urafiki na kaka mtu kwanza...Sister hana noma naweza muambia sister leo twende club then tukiwa kule tunajifanya ndiyo tumekutana kwa bahat mbaya then unapata fursa ya kutema madini..
Bora umesema maana...Hao unaowahudumia ndiyo wanalalamika Huduma yako siyo nzuri
Endelea kuotaHizi ni dalili nzuri sana kwangu, kwasababu siku zote naamini watoto wanaojifanya wagumu ni rahisi sana kuingia kwenye himaya yangu.
Hii technique itamfaa sumbai sababu hana swaga.youngblood na sumbai mnakosea sana ukitaka ufanikiwe kumpata dada mtu jenga urafiki na kaka mtu kwanza...Sister hana noma naweza muambia sister leo twende club then tukiwa kule tunajifanya ndiyo tumekutana kwa bahat mbaya then unapata fursa ya kutema madini..
Maana anaowahudumia ndo wanaojua uzuri na ubaya wa Huduma. Nashangaa anavyojisifia hapaBora umesema maana...
Watayajulia wapi haya mambo, kama hawajui kupetipeti hayo mambo mengine watayajulia wapi!?Tatizo hawayajui hayo
Wacha niwaeleweshe maana kwangu naona afadhali wao kidogo kuliko mtumish...Tatizo hawayajui hayo
Nani kalalamika hapa.Hao unaowahudumia ndiyo wanalalamika Huduma yako siyo nzuri
Brother usikimbie.Hahahaa...
Kuwa Jf ni raha sana asee.
Ndo unavyojifariji?Nani kalalamika hapa.
Wote walioipata huduma yangu wanasambaza sifa nzuri humu.
Kijana youngblood anapenda sifa kumbe ndani yake hamna chochote.Maana anaowahudumia ndo wanaojua uzuri na ubaya wa Huduma. Nashangaa anavyojisifia hapa
Aisee.![]()
Damu changa acha sifa nenda kanywe chai
Inatosha
![]()
![]()
![]()
![]()
.................