shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Salam tu unapotea, kama vile uko zamu ya ulinziJamani sijapotea sanaa

Salam tu unapotea, kama vile uko zamu ya ulinziJamani sijapotea sanaa

Muziki: Furahia Kama Uko na Miaka 21+
Sina hakika kama nimechelewa kusalimia, salamu ni salamu haina wakati kama salama kond... Nami kwa kuwa nimekukuta hapa sina budi kukusalimia Kapuku mheshimika, unajua sitochoka kusema wewe ni sehemu bora sana ya forum hii, na uzuri unalijua hilo bila kujali unamiliki Tecno werevaa, singsung/samsung, nokio 3310, laptop, ipad, kindle na devices nyingine, uzuri wote tunakutana hapa kusaka na kusambaza maarifa.
Naamini ulikuwa na siku mbili nzuri za mapumziko na ndiyo maana nasema Happy Monday, wikend ilikuwa na mengi, tumeona hela zilizosemwa sio za serikali zikirudishwa serikalini. Tumeona Taifa Starz ikiibuka namba tatu (hii ni nzuri kuliko ile nafasi ya miaka yote inayoshikwa na Arsenal Starz)
Muziki sasa: kama kuna kitu kinachowaleta watu wa rika zote karibu, muziki lazima utakuwa ni mojawapo ya kitu hicho. Amini usiamini, watu wa mataifa na washika dini huunganishwa na muziki. Miili yetu imeumbwa kupenda muziki.
Anitwa Sean Paul, mfalme wa dancehall toka Jamaica ambaye kiukweli ana nasaba za karibu asili zote, Myahudi, Mzungu, Muafrika na Mchina kwa ndani. Inawezekana kwa sababu hii akaamua kuchagua ragga kama muziki wa kumtoa maana ragga nayo ina mchanganyiko makande yamesingiziwa.
Una miaka 21+ basi furahia maana jela hupelekwi sehemu ya watoto, na kwa kuwa unapenda midundo basi hebu burudika na ngoma hii ya jana lakini inavuma hadi leo, huku ukijitahidi kufuata na kutii bila kuitia sheria maana jela hakuna disco
Aisee, umenikumbusha mbali sanaUSA river hapa kwa chuo cha wadanish ndo tupo kwa sasa hivi, karibu sana
Hahahahaha labda jamaniSalam tu unapotea, kama vile uko zamu ya ulinzi![]()
![]()
![]()
Binamu heshima kwako kwanza....mengine kaushia binamu mbona dada alikulea kwa hekima na busaraAnko vipi, naona wikend ulishikwa ukashikana yaani kama na hivi niliona ulipokuwa na ulichokuwa nacho sikushangaa mjusi kuwa juu ya gogo.
Nimefurahi kukuona humu tena
...
Leo nimekuwa wa mwisho kujuaMpe nafasi hyo Q aunt yngu,kaimba mashairi mpaka koo limemkauka
Napajua sana tuUnapajua hapa mdau ?
Ok kumbe mnacheza na photo shopNi #10 au # 9
Hawajaonesha wala kuconfirm
Tukutane kesho mdau
.......
Binamu amekuambukiza huo ugonjwaLeo nimekuwa wa mwisho kujua
Upooo??Karibu mpaka ndani
Binamu heshima kwako kwanza....mengine kaushia binamu mbona dada alikulea kwa hekima na busara
Binamu umesahau mara ya kwanza nakuleta mjini japo ilikuwa lazima tufike kwa mjumbe kuripotii ....
Nasikia leo umepiga mbizi kwenda kigambonii![]()
![]()
...
Uko poa auntUmemisika. Karibu sana
PapaPowa
Muziki: Furahia Kama Uko na Miaka 21+
Sina hakika kama nimechelewa kusalimia, salamu ni salamu haina wakati kama salama kond... Nami kwa kuwa nimekukuta hapa sina budi kukusalimia Kapuku mheshimika, unajua sitochoka kusema wewe ni sehemu bora sana ya forum hii, na uzuri unalijua hilo bila kujali unamiliki Tecno werevaa, singsung/samsung, nokio 3310, laptop, ipad, kindle na devices nyingine, uzuri wote tunakutana hapa kusaka na kusambaza maarifa.
Naamini ulikuwa na siku mbili nzuri za mapumziko na ndiyo maana nasema Happy Monday, wikend ilikuwa na mengi, tumeona hela zilizosemwa sio za serikali zikirudishwa serikalini. Tumeona Taifa Starz ikiibuka namba tatu (hii ni nzuri kuliko ile nafasi ya miaka yote inayoshikwa na Arsenal Starz)
Muziki sasa: kama kuna kitu kinachowaleta watu wa rika zote karibu, muziki lazima utakuwa ni mojawapo ya kitu hicho. Amini usiamini, watu wa mataifa na washika dini huunganishwa na muziki. Miili yetu imeumbwa kupenda muziki.
Anitwa Sean Paul, mfalme wa dancehall toka Jamaica ambaye kiukweli ana nasaba za karibu asili zote, Myahudi, Mzungu, Muafrika na Mchina kwa ndani. Inawezekana kwa sababu hii akaamua kuchagua ragga kama muziki wa kumtoa maana ragga nayo ina mchanganyiko makande yamesingiziwa.
Una miaka 21+ basi furahia maana jela hupelekwi sehemu ya watoto, na kwa kuwa unapenda midundo basi hebu burudika na ngoma hii ya jana lakini inavuma hadi leo, huku ukijitahidi kufuata na kutii bila kuitia sheria maana jela hakuna disco
Ntafanyajeee ndo binamu wanguBinamu amekuambukiza huo ugonjwa
Umenikumbusha mbaliii ....unakumbuka mjumbe alikuuliza nini?? Na wewe ulimjibu nini ...Aaah , mjomba enzi zile unanileta mjini si unakumbuka nilivyokuwa nawatambia wanafomufoo wenzangu kuwa mimi nikimaliza shule tu naenda Dar kwa anko. Kweli bhana ukanileta mjini, tatizo likawa malezi ya dadaako na wewe no tofauti, nikajikuta nafuata malezi yako.
Yule mjumbe yule mwanae unawasiliana naye bado maana ilikuwa excuse yako ya kuwa unaripoti pale everytaimu
Afu sijapiga mbizi kigamboni bhana, nimepita hii njia ya tiper bahari imekupwa
ila wewe utundu wa katabiaa aka ulianza mwanzoni make kisa cha mtoto wa mjumbe kuniletea maji ukamtuma maziwa ...mjumbe ngoja agomeshee kusaini ili utambuliwe
Maisha yanaenda kasi kweliiiHii nyimbo imenikumbusha enzi za usichana wangu Maisha yanaenda kasi sana nmezeeka sasa
KabisaaaMaisha yanaenda kasi kweliii