Makapuku Forum

Makapuku Forum

Muziki: Furahia Kama Uko na Miaka 21+

Sina hakika kama nimechelewa kusalimia, salamu ni salamu haina wakati kama salama kond... Nami kwa kuwa nimekukuta hapa sina budi kukusalimia Kapuku mheshimika, unajua sitochoka kusema wewe ni sehemu bora sana ya forum hii, na uzuri unalijua hilo bila kujali unamiliki Tecno werevaa, singsung/samsung, nokio 3310, laptop, ipad, kindle na devices nyingine, uzuri wote tunakutana hapa kusaka na kusambaza maarifa.

Naamini ulikuwa na siku mbili nzuri za mapumziko na ndiyo maana nasema Happy Monday, wikend ilikuwa na mengi, tumeona hela zilizosemwa sio za serikali zikirudishwa serikalini. Tumeona Taifa Starz ikiibuka namba tatu (hii ni nzuri kuliko ile nafasi ya miaka yote inayoshikwa na Arsenal Starz)

Muziki sasa: kama kuna kitu kinachowaleta watu wa rika zote karibu, muziki lazima utakuwa ni mojawapo ya kitu hicho. Amini usiamini, watu wa mataifa na washika dini huunganishwa na muziki. Miili yetu imeumbwa kupenda muziki.
Anitwa Sean Paul, mfalme wa dancehall toka Jamaica ambaye kiukweli ana nasaba za karibu asili zote, Myahudi, Mzungu, Muafrika na Mchina kwa ndani. Inawezekana kwa sababu hii akaamua kuchagua ragga kama muziki wa kumtoa maana ragga nayo ina mchanganyiko makande yamesingiziwa.

Una miaka 21+ basi furahia maana jela hupelekwi sehemu ya watoto, na kwa kuwa unapenda midundo basi hebu burudika na ngoma hii ya jana lakini inavuma hadi leo, huku ukijitahidi kufuata na kutii bila kuitia sheria maana jela hakuna disco


Namkubali sana, napenda sauti yake ilivyo na mafua mafua
 
Muziki: Furahia Kama Uko na Miaka 21+

Sina hakika kama nimechelewa kusalimia, salamu ni salamu haina wakati kama salama kond... Nami kwa kuwa nimekukuta hapa sina budi kukusalimia Kapuku mheshimika, unajua sitochoka kusema wewe ni sehemu bora sana ya forum hii, na uzuri unalijua hilo bila kujali unamiliki Tecno werevaa, singsung/samsung, nokio 3310, laptop, ipad, kindle na devices nyingine, uzuri wote tunakutana hapa kusaka na kusambaza maarifa.

Naamini ulikuwa na siku mbili nzuri za mapumziko na ndiyo maana nasema Happy Monday, wikend ilikuwa na mengi, tumeona hela zilizosemwa sio za serikali zikirudishwa serikalini. Tumeona Taifa Starz ikiibuka namba tatu (hii ni nzuri kuliko ile nafasi ya miaka yote inayoshikwa na Arsenal Starz)

Muziki sasa: kama kuna kitu kinachowaleta watu wa rika zote karibu, muziki lazima utakuwa ni mojawapo ya kitu hicho. Amini usiamini, watu wa mataifa na washika dini huunganishwa na muziki. Miili yetu imeumbwa kupenda muziki.
Anitwa Sean Paul, mfalme wa dancehall toka Jamaica ambaye kiukweli ana nasaba za karibu asili zote, Myahudi, Mzungu, Muafrika na Mchina kwa ndani. Inawezekana kwa sababu hii akaamua kuchagua ragga kama muziki wa kumtoa maana ragga nayo ina mchanganyiko makande yamesingiziwa.

Una miaka 21+ basi furahia maana jela hupelekwi sehemu ya watoto, na kwa kuwa unapenda midundo basi hebu burudika na ngoma hii ya jana lakini inavuma hadi leo, huku ukijitahidi kufuata na kutii bila kuitia sheria maana jela hakuna disco


Asante Obe ,ubarikiwe

Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
 
30bb7daeef4cc0f23fd8a6d31028201d.jpg

Cc Husna

.
.
.
.
Tukutane kesho
.............
Cc QUIGLEY
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom