Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,585
Tecno imenipa kiki kf[emoji23] [emoji23] [emoji23]Tuacheni na Husna wa Obe.
sent from my Tecno kimeo using jamiiforum mobile app
Na huaweiNatumia Sony na renovo
[emoji2] [emoji2] [emoji2]Hizo sio pafyumu kweli
WerevaaaNenda setting kisha signature halafu weka tick kwenye none
Husna + Kimario = TECNO
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
.........
[emoji106]Cc my Shululu,Husna mpendwa wa Obe
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kweli jf wamenipa kiki leoHusna wa TECNO
Leo simwachi nimepata pa kushika
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
......
Yes my phoneDada maTECNO
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji125] [emoji125] [emoji125]
......
Sawa kwenu ni mpyaa kwangu ya zamaniiIla tumeijuaa leoo
[emoji15] [emoji15]Naona leo mko live na Husna..
Siku alipokuja Gheto hadi akaacha mkoba ilikuwaje? [emoji3][emoji3][emoji3]
sent from my Tecno kimeo using jamiiforum mobile app
[emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji106]Hajawahi kuja
Mkoba uliletwa tu na mbuzi
.....
Mmenichekaa[emoji23] [emoji23] [emoji23]Mbona umetoa
TECNO ndo imetawala bongo
Unajua hizo signature ni usumbufu tu
....
Mi nasemaga tu hata siku nikimeet na MTU humu asinishangaeNitakuPM
Mambo mengine sio ya kusema hadharani
Wapo watu wangu humu KF wanaojua
..........
Ila naheshimu uamuzi wakoNitakuPM
Mambo mengine sio ya kusema hadharani
Wapo watu wangu humu KF wanaojua
..........
[emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4]Hahahaaa...
Hao mbuzi wako wana akili sana..
Hongera mkuu [emoji3][emoji3][emoji3]
sent from my Tecno kimeo using jamiiforum mobile app
Sawa kijanaaKuoa kwani lazima?
Unapata maziwa kwani lazima ufuge ng'ombe ?
Pia mimi siyo mzee sijagusa 30
........
TunaonanaNakuona shem
Dreams never end by fear
[emoji15] [emoji15] [emoji15] kuuumbeeKwani hujui Instagram,Google,Facebook watu wanaingiza mkwanja?
Yaani ni km tusene JF ingekuwa inatulipa members kwa wingi wa views basi hii thread ingekuwa miongoni mwa 5 ambazo zingepiga hela ndefu
Ila JF wao hulipwa na Google na kugawana wenyewe sisi tumekuwa wauza sura tu
Ndio maana thread za kijingajinga hawafuti ndo zinaongoza kuwaongizia mkwanja
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
.....
PoaMambo vipi
Dreams never end by fear
Ngoja nikaangalieHata mastaa wanaopost picha za utupu mtandaoni wanapiga pesa
Usifikiri hawana akili....wanatafuta views na followers
Halafu nimekuPM
.......