Makapuku Forum

Makapuku Forum

Kwani hujui Instagram,Google,Facebook watu wanaingiza mkwanja?
Yaani ni km tusene JF ingekuwa inatulipa members kwa wingi wa views basi hii thread ingekuwa miongoni mwa 5 ambazo zingepiga hela ndefu

Ila JF wao hulipwa na Google na kugawana wenyewe sisi tumekuwa wauza sura tu

Ndio maana thread za kijingajinga hawafuti ndo zinaongoza kuwaongizia mkwanja
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
.....
[emoji15] [emoji15] [emoji15] kuuumbee
 
Back
Top Bottom