Makapuku Forum

Makapuku Forum

Kwani hujui Instagram,Google,Facebook watu wanaingiza mkwanja?
Yaani ni km tusene JF ingekuwa inatulipa members kwa wingi wa views basi hii thread ingekuwa miongoni mwa 5 ambazo zingepiga hela ndefu

Ila JF wao hulipwa na Google na kugawana wenyewe sisi tumekuwa wauza sura tu

Ndio maana thread za kijingajinga hawafuti ndo zinaongoza kuwaongizia mkwanja

.....
kuuumbee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom