Hahahaa! Kuna jamaa nimemkumbuka sijui kama ilikuwa ni stori ya kweli ama ni mboyoyo.
Kaenda kwa uchepukajini huku Tanga bhana.., watoto wa pwani wakamfukiza madawa ya kutosha..
Kaspend 2 days yuko ndani anabanikwa na mmama fulani..
Sasa kasheshe ilikuwa siku ya kurudi kwa mkewe..kila akioga yale marashi hayaishi yaani [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] .
Ila jomba alilala gesti siku 2 tena ananukia marashi tuu..! ile sabuni ya Forma-Gold ndio ilikuja kumuokoa harufu ikaisha..
Nukia ila akunukishe mkeo..!
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
sent from my Tecno Kimeo using jamiiforum mobile app