Makapuku Forum

Makapuku Forum

Yule kiungo mwenye mapafu..

Alikuja OT kww mbwembwe hadi tukampa jezi No. 7 ambayo hupewa wafalme wa OT..

Namzumzungumzia Memphis Depay . Ameamua kutoa wimbo wake wa Rap na kuonesha hana tuu kipaji cha mpira ila pia anaweza kuimba..

Jamaa ana 508k viewers hadi sasa toka uwekwe youtube week 2 zilizopita..


Wimbo ni huo hapo




sent from my Tecno kimeo using jamiiforum mobile app

Tecno kimeo noted


Nimeshindwa kuing'amua ni lugha gani aliyoitumia mbali na lugha ya mkoloni

Dreams never end by fear
 
Mkuu you are missing the beat.... Nilimuuliza spouse wako kwamba anasukwa au 'anasukwa'? Maana amekaa muda mrefu sana kwa mkongo ha ha ha
Wala mkuu..

Mimi ndio nilichelewa kumchukua tuu!

So far namuamini sana! Wakati mwingine nakuwa siko hata Tz na nakuwa comfortable kabisa..

Just because we have a trust to one another..

sent from my Tecno kimeo using jamiiforum mobile app
 
12e54501853cd000a25ed5378851f053.jpg
1b5196c01b1c159b2d2c8f159deda799.jpg
d0d092f5c980726c5ae324b311332c7b.jpg
Aisee

Dreams never end by fear
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom