Nyagei
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 13,201
- 44,601
Yule kiungo mwenye mapafu..
Alikuja OT kww mbwembwe hadi tukampa jezi No. 7 ambayo hupewa wafalme wa OT..
Namzumzungumzia Memphis Depay . Ameamua kutoa wimbo wake wa Rap na kuonesha hana tuu kipaji cha mpira ila pia anaweza kuimba..
Jamaa ana 508k viewers hadi sasa toka uwekwe youtube week 2 zilizopita..
Wimbo ni huo hapo
sent from my Tecno kimeo using jamiiforum mobile app
Tecno kimeo noted
Nimeshindwa kuing'amua ni lugha gani aliyoitumia mbali na lugha ya mkoloni
Dreams never end by fear

kuumbee