Makapuku Forum

Makapuku Forum

Daktari yupi broo yaan hapa natumia mipanado tu huku maralia inapimwa kama ukimwi ukitumia kale kakipimo wanatogawaga.
Sijawah ona microscope..
Kwanza kubali hali yako kisha anza kuiona ni changamoto tu halafu kabiliana mayo
Mfano mimi tangu mwezi April naumwa ila nimeikubali hali yangu na kumeza dawa kila siku na kufuata nasharti ya Daktari now nipo nafuu kiasi ila mwanzoni sikuweza kabisa hata kutembea

.......
 
d5f8def1bae317a228a0b13c1fb0d31c.jpg

Nenda setting signature weka None
....
Cc my Shululu,Husna mpendwa wa Obe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom