Makapuku Forum

Makapuku Forum

Daktari yupi broo yaan hapa natumia mipanado tu huku maralia inapimwa kama ukimwi ukitumia kale kakipimo wanatogawaga.
Sijawah ona microscope..
Kwanza kubali hali yako kisha anza kuiona ni changamoto tu halafu kabiliana mayo
Mfano mimi tangu mwezi April naumwa ila nimeikubali hali yangu na kumeza dawa kila siku na kufuata nasharti ya Daktari now nipo nafuu kiasi ila mwanzoni sikuweza kabisa hata kutembea

.......
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3]
Kule sijui wako na akili gani cause kila mmoja anasema lake then wanataka kujifananisha na Kapuku's

Nabaki kushangaa tu
Kuna ndugu yetu mmoja siku hizi namuona yupo kule all the time sijui nini mbaya imetokea.

Dreams never end by fear
Shimba huyooo

Sent from my TECNO-Y3+ using JamiiForums mobile app
 
d5f8def1bae317a228a0b13c1fb0d31c.jpg

Nenda setting signature weka None
....
Cc my Shululu,Husna mpendwa wa Obe
 
Back
Top Bottom