shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Kweli shemejiWeweee
Kweli shemejiWeweee
Mlinzi wa nini mkuHata ajira ya mlinzi imeota mbawa
Sent from my E5653 using JamiiForums mobile app

Mmmmh![]()
![]()
![]()
![]()
Sio kawaida yake kuskip page ...
VFD 301
Na hii ndio nini?
HahahaSitumii Vodafone
Kwani nimebishaaKweli shemeji
Hebu kaniwekee maji kwanza..We ni chizi ujue
Seriously Mondray yuko na hali mbaya, sijui huko visiwani wanaishije
Dreams never end by fear
Natumia Sony na renovoBitoz
Kwanza kubali hali yako kisha anza kuiona ni changamoto tu halafu kabiliana mayoDaktari yupi broo yaan hapa natumia mipanado tu huku maralia inapimwa kama ukimwi ukitumia kale kakipimo wanatogawaga.
Sijawah ona microscope..
Hizo sio pafyumu kweliNatumia Sony na renovo
Zamani ulikuwa ukienda porini unaajili mlinziMlinzi wa nini mku![]()
![]()
![]()
Afu huo mkono huache tuu! You know it yourself..Kabisaa... Nimejikuta Nakuwaza ghafla


Shimba huyooo![]()
![]()
![]()
Kule sijui wako na akili gani cause kila mmoja anasema lake then wanataka kujifananisha na Kapuku's
Nabaki kushangaa tu
Kuna ndugu yetu mmoja siku hizi namuona yupo kule all the time sijui nini mbaya imetokea.
Dreams never end by fear
Twende bafuni kabisaa... Leo ni maji ya baridi... Si unajua ile iliki niliitwangaHebu kaniwekee maji kwanza..
sent from my Tecno kimeo using jamiiforum mobile app
AiseeHizo sio pafyumu kweli
Pole mdauFuatilia mdau utujuze
Mi asubuhi naelekea MOI (nimewahi kuwaambia nilipataga ajali hivyo natibiwa tangu April hadi Agosti mwanzoni) ndo muda niliopangiwa kutumia dawa
......
Nenda setting kisha signature halafu weka tick kwenye noneHii tabia ya jf bana wanataka kila mtu ajue natumia simu gani
Sent from my TECNO W5 Lite using JamiiForums mobile app
Cc my Shululu,Husna mpendwa wa Obe![]()
Nenda setting signature weka None
....
HahahaAisee