Makapuku Forum

Makapuku Forum

UNAIJUA TABIA YA MAUMIVU YA NDANI AU UCHUNGU??
Maumivu au uchungu unatabia zifuatazo;
1. Uchungu unambadilisha mtu tabia.
2. Uchungu humfanya mtu kupunguza imani (trust) au kutomwamini mwingine kabisa. Uchungu na maumivu ya moyo humfanya mtu kufikiria kuliko uwezo wake wa kawaida.
3. Uchungu pia humfanya mtu kujifungia ndani yake mwenyewe kihisia (emotional neglect), hawezi kufunguka, hazungumzi kawaida, haelezei hisia zake, ukimya na kununa kusiko kwa kawaida. Uchungu ni mbaya sana. Nadhani kati ya vitu muhimu vyakuvihakikisha kwa mpenzi wako ni kuhakikisha unapunguza mazingira ya kumsababishia machungu
 
UNAIJUA TABIA YA MAUMIVU YA NDANI AU UCHUNGU??
Maumivu au uchungu unatabia zifuatazo;
1. Uchungu unambadilisha mtu tabia.
2. Uchungu humfanya mtu kupunguza imani (trust) au kutomwamini mwingine kabisa. Uchungu na maumivu ya moyo humfanya mtu kufikiria kuliko uwezo wake wa kawaida.
3. Uchungu pia humfanya mtu kujifungia ndani yake mwenyewe kihisia (emotional neglect), hawezi kufunguka, hazungumzi kawaida, haelezei hisia zake, ukimya na kununa kusiko kwa kawaida. Uchungu ni mbaya sana. Nadhani kati ya vitu muhimu vyakuvihakikisha kwa mpenzi wako ni kuhakikisha unapunguza mazingira ya kumsababishia machungu
Well said
 
UKIKUTANA NA SIMBA GHAFLA, FANYA HAYA..

Uwapo porini au sehemu yoyote ya wazi, halafu ghafla ukamwona simba (akiwa amekupa mgongo) na wakati yeye akiwa hajakuona na wakati huo ukijua kabisa muda wowote atakapogeuka anakuona, LALA CHALI au KIFUDIFUDI!

Simba atakapogeuka na kuona umelala, atakusogelea na kuanza kukugusa-gusa kwa miguu yake na masharubu. Jikaze tu usitikisike.Kwa kufanya hivyo, atafikiri wewe n mzoga, na simba halagi mzoga, anakula fresh kitu kinachotoa damu!

Atakaa hapo pembeni yako kwa muda kadhaa akiwa kama anakusubiria,we jikaze tu, usikohoe,kupiga chafya, kujigeuza au kucheka!

Baadae taratibu ataanza kuondoka zake, huyoooo...

Kwa jicho la wizi, unamcheck tu taratibu akiwa anatokomea,akishapotea mbali, unanyanyuka zako na kwenda zako nyumbani huku nguo yako ikiwa imelowana...
8717287dd400ddd67103743857e8feef.jpg
Mbona anacheka
 
Huwa wanasababu za kufanya hivyo, kulingana na mazingira yetu wanawake wengi sana wanatoa mimba, mwingine mpaka kizazi kinaharibika anakuwa hana uwezo tena wa kutunga mimba

Sasa akipata rafiki atamsimulia na atakuwa na uchungu sana kwa nini alitoa mimba, muda huo anahitaji kuitwa mama lakini haiwezekani tena

Sasa rafiki yake akipata mimba tu ni lazima amlingishie kuwa yeye soon anaitwa mama

Hilo ndio tatizo kubwa sana la watu kupenda kuonesha mimba zao
I see
 
Wakuu kumekucha salama Jana nimeahidi kutoa msimamo wangu juu ya kuto kumwona afande shedede

Sasa nimeamua kuto kuingia jukwaani hapa kwa siku tatu

Kuonyesha kuwa alicho kufanya husna kumtelekeza afande wakati aliacha kazi kwaajili yake ili awe karibu nae sasa katelekezwa

Na mzee wa saa mpya umejichukulia shemeji yako bila hata kumhurumia afande na maumivu yake

Leo nasema kuwa tu kila jambo na wakati wake Fanya kila kitu kwa manufaa ya Leo na kesho

Nawaacha na utafiti hewa : uvivu wako ndo chanzo cha umaskini wa familia yako
Cc Obe na Husna
 
Morning wapenzi hope mmeamshwa salama nawamiss sana jamaan

Natoka kidogo jf tutaonaona nikirudi kama baada ya week au viweek kadhaa nitazidi kuwamiss

Mungu azidi kuwaweka tupo pamoja

Mama mchuchu nilimpa sakayo ujumbe asubuhi naomba umtumie no yako mama nakupenda sana

Mungu awabariki sana sana

Kapuku kwangu ni zaidi ya familia
Kulikoni shunie
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom