BlessedHope
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,988
- 32,649
Tuwaombee sana watoto wote.usijali wako,jirani,adui,rafiki,ndugu..OMBA OMBA OMBA MUNGU SIO KIZIWI......ANASIKIA
Tuwaombee sana watoto wote.usijali wako,jirani,adui,rafiki,ndugu..OMBA OMBA OMBA MUNGU SIO KIZIWI......ANASIKIA
NashangaaHivi utakuwepo ule upepo wa baharini au ndio ni full AC
Wenye vyeti feki kazi mnayo
Pia chemical kwenye mwili sio nzuri, ndio maana tunapata magonjwa ya ajabu ajabu bila kujua chanzo chakeI see hizi makeup zinazeesha huyu binti ni mzuri bila makeup anapaswa kujua
Ni nzuri shem VP wwHabari yako shem wane
Huu ni usagaji unamwaribu huyu mwanamke
KaribuBaada ya kupata UF na BBC, sasa tupate dondoo za magazeti ya leo
AmenNawasalimu makapuku wenzangu kwa jina Bwana na Mungu atubariki sote tuwe na cku njema usoni pake!
Kwani kuzaa hadi utangaze..jamani kuwa mjamzito ni BARAKA...HATA KAMA Mwanaume kakataa mimba....kaa kimya zamani tuliaswa mimba ni siri watoto wetu wanapenda kuizungumzia mno.kwani ukikaa kimya mtoto hazaliwi?natamani watoto wa kike wafahamu wao ni wathamani mbele za Mungu ,kama ulifanya makosa ukabeba mimba bila ndoa halali na me anakataa TUBU..SONGA MBELE MUNGU ANAMJUA MTOTO ANAEKUJA KULIKO WEWE NA HUYO ME..JOKATE KAMA NI MJAMZITO MUNGU AMSAIDIE AACHE MALUMBANO NA KUMTAMKIA MTOTO MANENO..WATOTO TUMBONI WANASIKIA

Mungu hutoa kwa wakati,ni lazima tuhesabu baraka zote katika ndoa...Mungu anayosiri nzito kuhusu ndoaView attachment 537072Kwa udhamini mnono wa Chaplin Nawatakieni wote siku njema
Hahahahaaaa hili gazeti kwa kutumia picha za mitandaoni halijambo
Asante mkuuView attachment 537072Kwa udhamini mnono wa Chaplin Nawatakieni wote siku njema
Kweli kabisaa mamii mrejesho ni muhimuNakuombea..kama unafunga na kuomba ili Mungu akupe majibu tushirikishe...naamini kuna jambo unaenda kulileta kwa siku tatu.popote ulipo kaka Mungu akutangulie.
Hapo sawaYES!UNYWE KWA AJILI YA KINGA SI ULEVI



I see asante sana kwa hili
ShemelaPia chemical kwenye mwili sio nzuri, ndio maana tunapata magonjwa ya ajabu ajabu bila kujua chanzo chake
Wenzetu wamebaki kutengeneza na kutuma Africa, kwao hawatumii kabisa
Shikamoo mama yangu kipenziNashangaa

Mpendwa wa binamu yanguNi nzuri shem VP ww