shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Asante shemeji sakayo nawe pia
Asante shemeji sakayo nawe pia
Duh yaani unataka mtu aache majukumu achat muda woteYaani huko unakoenda shunie hakuna network au minara ya simu au simu utaiacha
Ila safari njema urudi salama hapa jukwaani
Sawa mama MchungajiMorning mdau Bitoz asante ubarikiwe
YASIYOWEZEKANA KWA MWANADAMU KWA MUNGU YANAWEZEKANA
ZEKARIA 8
Mpendwa wangu ,rafiki yangu ,mwanangu,mdogo wangu,ndugu yangu hakuna jambo gumu mbele yetu likawa gumu kwa Mungu hata siku moja,hakuna linalomshinda Mungu.Anaweza yote unayoyajua.
MWANZO 18
HESABU 11

Kunywa tu kijanaHii kitu ni real yaaani...
Ngoja ipate baridi kwanza
Duh yaani unataka mtu aache majukumu achat muda wote
Atakula nini?
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
....

AmenYASIYOWEZEKANA KWA MWANADAMU KWA MUNGU YANAWEZEKANA
ZEKARIA 8
6.BWANA wa majeshi alimwambia Musa "ingawa hili ni neno lililogumu mbele ya macho ya mabaki ya watu hawa katika siku hizo,je!liwe neno gumu mbele ya macho yangu?Asema Bwana wa majeshi.
Mpendwa wangu ,rafiki yangu ,mwanangu,mdogo wangu,ndugu yangu hakuna jambo gumu mbele yetu likawa gumu kwa Mungu hata siku moja,hakuna linalomshinda Mungu.Anaweza yote unayoyajua.
MWANZO 18
14.BWANA alimwambia Sara mke wa Ibrahim kuna neno gani lililogumu la kumshinda BWANA ?Kwa muhula wake nitamrudia ,wakati huu huu mwakani Sarah akapata mwana wa kiume.
MUNGU wetu anaweza yote hashindanishwi,hasindani na yoyote,lolote,chochote ni mkuu mno njia zake hazichunguziki,mawazo yake nguvu zake hazifananishwi na lolote.
HESABU 11
23.BWANA akamwambia MUSA Je,mkono wa BWANA umepungua urefu wake?Sasa utaona neno langu litatimizwa kwake au sivyo
ISAYA 59
1.Tazama mkono wa BWANA haukupunguka hata usiweze kuokoa,wala sikio lake si zito hata lisiweze kusikia
2.Lakini maovu yenu yamewafarakanisha ninyi na Mungu wenu,na dhambi zenu zimeuficha uso wake msiuone,hata hataki kusikia.
Pamoja na yote Mungu amependa kumuonyesha Musa kuwa hamna gumu kwake
Mungu ni yuleyule jana,leo ,kesho na milele habadiliki ahadi zake ni zilezile ni yule aliyewaokoa wana wa Israel na atatuokoa nasi hakuna linalomshinda tuache matendo ambayo yanatutenga naye,tuache kunung'unika,kukata tamaa,tuwapende wenzetu ,tuwajali tuchukuliane kwa upendo na kujua kwamba ni sehemu yetu ya maisha matakatifu.tuwaombee watu wote na tuwe tayari kusamehe na kuachilia msamaha hata kama tumeumia sana..Mungu anatenda katika moyo uliosafi usiombeba mtu ,usioumiza wengine usiohukumu...Mungu anaweza yote tumkimbilie yeye tu.SHALOM
MCHANA MWEMA MBARIKIWE![]()
![]()
Mkuu za uzima mnaendeleaje barikiwa,ngoja ipoe unywe kwa afyaHii kitu ni real yaaani...
Ngoja ipate baridi kwanza
Hatakuwapo kwa mudaKulikoni shunie
Naona watu mmejazana 77 mnabeba tu vyomboJamani kwema hapa
Asante mkuu..Mkuu za uzima mnaendeleaje barikiwa,ngoja ipoe unywe kwa afya
Mm ndo naamka aisee hata mpango wa kwenda huko sinaNaona watu mmejazana 77 mnabeba tu vyombo
....
Yaaa sijambo kabisaa labda wwMy Crush...
Hujambo?
AmenYASIYOWEZEKANA KWA MWANADAMU KWA MUNGU YANAWEZEKANA
ZEKARIA 8
6.BWANA wa majeshi alimwambia Musa "ingawa hili ni neno lililogumu mbele ya macho ya mabaki ya watu hawa katika siku hizo,je!liwe neno gumu mbele ya macho yangu?Asema Bwana wa majeshi.
Mpendwa wangu ,rafiki yangu ,mwanangu,mdogo wangu,ndugu yangu hakuna jambo gumu mbele yetu likawa gumu kwa Mungu hata siku moja,hakuna linalomshinda Mungu.Anaweza yote unayoyajua.
MWANZO 18
14.BWANA alimwambia Sara mke wa Ibrahim kuna neno gani lililogumu la kumshinda BWANA ?Kwa muhula wake nitamrudia ,wakati huu huu mwakani Sarah akapata mwana wa kiume.
MUNGU wetu anaweza yote hashindanishwi,hasindani na yoyote,lolote,chochote ni mkuu mno njia zake hazichunguziki,mawazo yake nguvu zake hazifananishwi na lolote.
HESABU 11
23.BWANA akamwambia MUSA Je,mkono wa BWANA umepungua urefu wake?Sasa utaona neno langu litatimizwa kwake au sivyo
ISAYA 59
1.Tazama mkono wa BWANA haukupunguka hata usiweze kuokoa,wala sikio lake si zito hata lisiweze kusikia
2.Lakini maovu yenu yamewafarakanisha ninyi na Mungu wenu,na dhambi zenu zimeuficha uso wake msiuone,hata hataki kusikia.
Pamoja na yote Mungu amependa kumuonyesha Musa kuwa hamna gumu kwake
Mungu ni yuleyule jana,leo ,kesho na milele habadiliki ahadi zake ni zilezile ni yule aliyewaokoa wana wa Israel na atatuokoa nasi hakuna linalomshinda tuache matendo ambayo yanatutenga naye,tuache kunung'unika,kukata tamaa,tuwapende wenzetu ,tuwajali tuchukuliane kwa upendo na kujua kwamba ni sehemu yetu ya maisha matakatifu.tuwaombee watu wote na tuwe tayari kusamehe na kuachilia msamaha hata kama tumeumia sana..Mungu anatenda katika moyo uliosafi usiombeba mtu ,usioumiza wengine usiohukumu...Mungu anaweza yote tumkimbilie yeye tu.SHALOM
MCHANA MWEMA MBARIKIWE![]()
![]()
Kwema kabisa, za chugaJamani kwema hapa
Amina mamyAmen mummy ubarikiwe