Makapuku Forum

Makapuku Forum

TETESI ZA USAJILI LEO....

Manchester United wamekubaliana ada ya uhamisho ya takriban pauni milioni 75 na Everton ya kumsajili mshambuliaji Romelu Lukaku, 24.
Taarifa zinasema United sasa hawatoendelea kumfuatilia Alvaro Morata wa Real Madrid.
Hatua hii pia haihusiani na mazungumzo ya Wayne Rooney kuhamia Everton.
Ukiandika 24 una maana gan mr.lee miaka 24 au
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom