Makapuku Forum

Makapuku Forum

ZABURI 34

3.Mtukuzeni BWANA pamoja nami,na tuliadhimishe jina lake pamoja.

4.Nalimtafuta BWANA akanijibu,Akaniponya na hofu zangu zote.

Kumtafuta MUNGU kuna malipo...na kila umtafutapo utamuona..utamuona MUNGU kila wakati,maana hata kuamka kwako ni MUNGU si kwa ujanja wala akili zako ni MUNGU ndiye amekupa pumzi hii na hata umeweza kuuona tena muandiko huu,bila yeye HUWEZI

Basi ndugu yangu,rafiki yangu,mpendwa wangu,KAPUKU mwenzangu jiunge nami,ungana nami asubuhi ya leo TUMTUKUZE,TUMSIFU,TUMSHUKURU ,TUADHIMISHE JINA LAKE ..maana ametupa tena NEEMA hii ya Kuiona siku ya leo BURE...ndiyo ..ni ..BURE..JE ? Mwenzangu umelipia chochote?

Pamoja na kutuamsha salama ahadi yake MUNGU kwetu ni kuwa TUKIMTAFUTA .Atatujibu,Atatuponya na HOFU zetu zote..UNA HOFU Gani?

HAKUNA HOFU ISIYOJIBIWA NA MUNGU...MKABIDHI MAISHA YAKO ...

TUOMBE

ASANTE BABA kutuamsha salama,tutakase,tuongoze tufundishe kukutegemea ,tuponye tuhuishe,tubariki..ondoa HOFU zote Mfalme wa Amani ,wewe ni MUNGU USIYESHINDWA,HUJAWAHI KUSHINDWA,HUTASHINDWA..WEWE NI MWANZO WEWE NI MWISHO...Maana umetutoa mbali from ZERO TO HEROES...ASANTE BABA MAANA utatenda kila kitu sawa na mapenzi yako .

Tunaomba tuepushe na hatari za mwili na roho,tuepushe na mitego ya shetani kiburi cha uzima kisituangushe na kutukosesha mbingu,wivu,masengenyo,hasira,uchungu,kukata tamaa havina nafasi kwetu maana sisi ni wathamani ulituumba kwa mfano wako kwa ajili yako si kwa ajili yetu hivyo BABA tunapaswa kukutukuza.

Ponya wagonjwa mahali hapa,fariji wafiwa,wapweke,yatima ,wajane na waliovunjika moyo..ponya majeraha yote BABA katika wewe tuwe washindi .Roho Mtakatifu tuongoze katika yote.
Tunaomba yote katika jina la Yesu Amen

NAWATAKIA SIKU NJEMA MBARIKIWE
 
Wakuu kumekucha salama Jana nimeahidi kutoa msimamo wangu juu ya kuto kumwona afande shedede

Sasa nimeamua kuto kuingia jukwaani hapa kwa siku tatu

Kuonyesha kuwa alicho kufanya husna kumtelekeza afande wakati aliacha kazi kwaajili yake ili awe karibu nae sasa katelekezwa

Na mzee wa saa mpya umejichukulia shemeji yako bila hata kumhurumia afande na maumivu yake

Leo nasema kuwa tu kila jambo na wakati wake Fanya kila kitu kwa manufaa ya Leo na kesho

Nawaacha na utafiti hewa : uvivu wako ndo chanzo cha umaskini wa familia yako
 
MWANZO 18

1.BWANA akamtokea Ibrahimu karibu na mialoni ya Mamre,alipokua ameketi mlangoni pa hema yake mchana wakati wa hari.

2.Akainua macho yake akaona,na tazama ,watu watatu wamesimama mbele yake ,Naye alipowaona alipiga mbio kuwalaki kutoka mlangoni pa hema ,akainama mpaka chini.

3.Akasema BWANA,wangu ,kama nimeona fadhili machoni pako nakuomba usinipite sasa mimi mtumwa wako.

CHUNGUZA....Mara ngapi MUNGU ametutembelea ili kutuletea majibu ya maombi yetu nasi hatukutambua kwa kutojua?

TUMUOMBE MUNGU atufungue macho ya rohoni ili tumwone kila mara anapokuja kwetu ,kupitia watu,baraka,mapito,na hata furaha ili tumlaki/tuwalaki na kushukuru kwa fadhili za Baba Mungu wetu na KUMUOMBA ASITUPITE...HALELUIYA

NAWATAKIA MCHANA MWEMA MBARIKIWE
Aksante sana mama ...ubarikiwe
 
ZABURI 34

3.Mtukuzeni BWANA pamoja nami,na tuliadhimishe jina lake pamoja.

4.Nalimtafuta BWANA akanijibu,Akaniponya na hofu zangu zote.

Kumtafuta MUNGU kuna malipo...na kila umtafutapo utamuona..utamuona MUNGU kila wakati,maana hata kuamka kwako ni MUNGU si kwa ujanja wala akili zako ni MUNGU ndiye amekupa pumzi hii na hata umeweza kuuona tena muandiko huu,bila yeye HUWEZI

Basi ndugu yangu,rafiki yangu,mpendwa wangu,KAPUKU mwenzangu jiunge nami,ungana nami asubuhi ya leo TUMTUKUZE,TUMSIFU,TUMSHUKURU ,TUADHIMISHE JINA LAKE ..maana ametupa tena NEEMA hii ya Kuiona siku ya leo BURE...ndiyo ..ni ..BURE..JE ? Mwenzangu umelipia chochote?

Pamoja na kutuamsha salama ahadi yake MUNGU kwetu ni kuwa TUKIMTAFUTA .Atatujibu,Atatuponya na HOFU zetu zote..UNA HOFU Gani?

HAKUNA HOFU ISIYOJIBIWA NA MUNGU...MKABIDHI MAISHA YAKO ...

TUOMBE

ASANTE BABA kutuamsha salama,tutakase,tuongoze tufundishe kukutegemea ,tuponye tuhuishe,tubariki..ondoa HOFU zote Mfalme wa Amani ,wewe ni MUNGU USIYESHINDWA,HUJAWAHI KUSHINDWA,HUTASHINDWA..WEWE NI MWANZO WEWE NI MWISHO...Maana umetutoa mbali from ZERO TO HEROES...ASANTE BABA MAANA utatenda kila kitu sawa na mapenzi yako .

Tunaomba tuepushe na hatari za mwili na roho,tuepushe na mitego ya shetani kiburi cha uzima kisituangushe na kutukosesha mbingu,wivu,masengenyo,hasira,uchungu,kukata tamaa havina nafasi kwetu maana sisi ni wathamani ulituumba kwa mfano wako kwa ajili yako si kwa ajili yetu hivyo BABA tunapaswa kukutukuza.

Ponya wagonjwa mahali hapa,fariji wafiwa,wapweke,yatima ,wajane na waliovunjika moyo..ponya majeraha yote BABA katika wewe tuwe washindi .Roho Mtakatifu tuongoze katika yote.
Tunaomba yote katika jina la Yesu Amen

NAWATAKIA SIKU NJEMA MBARIKIWE
Siku iwe njema na kwako pia
 
Wakuu kumekucha salama Jana nimeahidi kutoa msimamo wangu juu ya kuto kumwona afande shedede

Sasa nimeamua kuto kuingia jukwaani hapa kwa siku tatu

Kuonyesha kuwa alicho kufanya husna kumtelekeza afande wakati aliacha kazi kwaajili yake ili awe karibu nae sasa katelekezwa

Na mzee wa saa mpya umejichukulia shemeji yako bila hata kumhurumia afande na maumivu yake

Leo nasema kuwa tu kila jambo na wakati wake Fanya kila kitu kwa manufaa ya Leo na kesho

Nawaacha na utafiti hewa : uvivu wako ndo chanzo cha umaskini wa familia yako
 
Dondoo za bbc. .

Polisi nchini Ujerumani wapambana na waandamanaji usiku wa kuamkia mkutano wa mataifa yenye nguvu kubwa kiuchumi wa G20.

Wakati Mahakama nchini Kenya ikitarajia kutoa uamuzi juu ya zabuni ya karatasi za kupigia kura, Tume ya Uchaguzi nchini humo lawamani.

Wataalam wa Mawasiliano kutokana sehemu mbalimbali za Dunia wanakutana jijini Dar es Salaam kujadili masuala yanayohusu wakulima wa Tanzania.
 
Unbelievable facts. ..

47938a2ffbfb3acdb261036577ada1f7.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom