Makapuku Forum

Makapuku Forum

77d70eb62a6c7ba38bca686cab339360.jpg
Hii noma aisee
Hata wacheza soka hufia uwanjani
Sema far as I hakushtuka km boss kaviuta ndo maana akakomaa tu
....
 
UKIKUTANA NA SIMBA GHAFLA, FANYA HAYA..

Uwapo porini au sehemu yoyote ya wazi, halafu ghafla ukamwona simba (akiwa amekupa mgongo) na wakati yeye akiwa hajakuona na wakati huo ukijua kabisa muda wowote atakapogeuka anakuona, LALA CHALI au KIFUDIFUDI!

Simba atakapogeuka na kuona umelala, atakusogelea na kuanza kukugusa-gusa kwa miguu yake na masharubu. Jikaze tu usitikisike.Kwa kufanya hivyo, atafikiri wewe n mzoga, na simba halagi mzoga, anakula fresh kitu kinachotoa damu!

Atakaa hapo pembeni yako kwa muda kadhaa akiwa kama anakusubiria,we jikaze tu, usikohoe,kupiga chafya, kujigeuza au kucheka!

Baadae taratibu ataanza kuondoka zake, huyoooo...

Kwa jicho la wizi, unamcheck tu taratibu akiwa anatokomea,akishapotea mbali, unanyanyuka zako na kwenda zako nyumbani huku nguo yako ikiwa imelowana...
8717287dd400ddd67103743857e8feef.jpg
Hayo maneno tu
Ila ukikutana nae hadi utajinyea na kusahau kufanya yote hayo


.,..
..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom