Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
Shangaa na wewe sasaKulikoni shunie
Shangaa na wewe sasaKulikoni shunie
AsanteAsante shemeji sakayo nawe pia
Kwa nini tena jamaniHatakuwapo kwa muda
Kafanyaje ?Shangaa na wewe sasa
Sijuii hata mie haniambiiKafanyaje ?
Dada mtu hata wewe hujuiSijuii hata mie haniambii
Jamaniiii mdogo wanguMorning wapenzi hope mmeamshwa salama nawamiss sana jamaan
Natoka kidogo jf tutaonaona nikirudi kama baada ya week au viweek kadhaa nitazidi kuwamiss
Mungu azidi kuwaweka tupo pamoja
Mama mchuchu nilimpa sakayo ujumbe asubuhi naomba umtumie no yako mama nakupenda sana
Mungu awabariki sana sana
Kapuku kwangu ni zaidi ya familia
Mie dadake lakini ujue kuna privacy ya mtu... Kama hajisikii kuniambia naheshimu hilo.. Ila najua she's not okayDada mtu hata wewe hujui
Hahaha kunywa tu T wa SakayoAsante mkuu..
Nikuletee kidogo..
Hongera kwa kupumzikaMm ndo naamka aisee hata mpango wa kwenda huko sina
Upo Kibaha?Amen
Mungu amtie nguvuMie dadake lakini ujue kuna privacy ya mtu... Kama hajisikii kuniambia naheshimu hilo.. Ila najua she's not okay
MuombeeJamaniiii mdogo wangu
Kulikoni lakini....
Sawa muke ya LacazetteMm ndo naamka aisee hata mpango wa kwenda huko sina
AminaMungu amtie nguvu
Namuombea sana mamyMuombee
HaaaaahaaaaSawa muke ya Lacazette![]()
Nipo kinondoni mama mchungaji.Upo Kibaha?
Cc Obe na Husna
