Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,585
Asante shemela, Mungu akutangulie katika majukumu yako, nasi tunakumiss sana, kapuku ni familia yetu
kabisa shemela ni familia yetu long live kapukuHuwa wanasababu za kufanya hivyo, kulingana na mazingira yetu wanawake wengi sana wanatoa mimba, mwingine mpaka kizazi kinaharibika anakuwa hana uwezo tena wa kutunga mimbaWengine wanadiriki mpaka kupicha vitumbo vyao ili kuvitupia mtandaoni
Namshkuru Mama naendelea vizuri usijal Mama angu kuwa na Amani kabisaMarahaba mwanangu za uzima?nini mbaya mwanangu?Natamani kukuona ukiwa na Amani ..NAKUPENDA![]()
![]()
NAJUA UNAJUA MUNGU ANAKUPENDA MNOO..USIMPE ADUI NAFASI YA KUKUVUNJA MOYO NA KUKUGANDAMIZA ..THE JOY OF THE LORD IS OUR STRENGHT ,NEHEMIA 8:10b...wala msihuzunike,kwa maana furaha ya BWANA ni nguvu zenu...
hofu ni kwako tu mtumie pm sakayo no mama Shunie![]()
![]()
![]()
Asante mpendwa wa binamu yanguKila LA heri mkuu
Nitarudi husna usijal tupo pamoja mpenziNambie my,naona unatukimbia et
Kweli kaongea kwa hisia jaman dah
DuuuHuwa wanasababu za kufanya hivyo, kulingana na mazingira yetu wanawake wengi sana wanatoa mimba, mwingine mpaka kizazi kinaharibika anakuwa hana uwezo tena wa kutunga mimba
Sasa akipata rafiki atamsimulia na atakuwa na uchungu sana kwa nini alitoa mimba, muda huo anahitaji kuitwa mama lakini haiwezekani tena
Sasa rafiki yake akipata mimba tu ni lazima amlingishie kuwa yeye soon anaitwa mama
Hilo ndio tatizo kubwa sana la watu kupenda kuonesha mimba zao
ZitamfikiaSalama sana shemela hofu kwako na mke mwee akija mpe salaam zangu sana jamaan
Bila shaka kabisa shemelakabisa shemela ni familia yetu long live kapuku
Nitarudi husna usijal tupo pamoja mpenzi

Ndio hivyo mpendwa wa ObeDuuu
Kwako pia ahsante shululuView attachment 537072Kwa udhamini mnono wa Chaplin Nawatakieni wote siku njema
Salama huko? kamanda nyageiSalama kabisa dingimtoto
Pamoja sana mkushi wa kusiKwako pia ahsante shululu
Nawe pia ubarikiwe, kila la kheri huko unako kwendaMorning wapenzi hope mmeamshwa salama nawamiss sana jamaan
Natoka kidogo jf tutaonaona nikirudi kama baada ya week au viweek kadhaa nitazidi kuwamiss
Mungu azidi kuwaweka tupo pamoja
Mama mchuchu nilimpa sakayo ujumbe asubuhi naomba umtumie no yako mama nakupenda sana
Mungu awabariki sana sana
Kapuku kwangu ni zaidi ya familia
Asante dingimtotoNawe pia ubarikiwe, kila la kheri huko unako kwenda
Huyo atakuwa sio simba wa NgorongoroUKIKUTANA NA SIMBA GHAFLA, FANYA HAYA..
Uwapo porini au sehemu yoyote ya wazi, halafu ghafla ukamwona simba (akiwa amekupa mgongo) na wakati yeye akiwa hajakuona na wakati huo ukijua kabisa muda wowote atakapogeuka anakuona, LALA CHALI au KIFUDIFUDI!
Simba atakapogeuka na kuona umelala, atakusogelea na kuanza kukugusa-gusa kwa miguu yake na masharubu. Jikaze tu usitikisike.Kwa kufanya hivyo, atafikiri wewe n mzoga, na simba halagi mzoga, anakula fresh kitu kinachotoa damu!
Atakaa hapo pembeni yako kwa muda kadhaa akiwa kama anakusubiria,we jikaze tu, usikohoe,kupiga chafya, kujigeuza au kucheka!
Baadae taratibu ataanza kuondoka zake, huyoooo...
Kwa jicho la wizi, unamcheck tu taratibu akiwa anatokomea,akishapotea mbali, unanyanyuka zako na kwenda zako nyumbani huku nguo yako ikiwa imelowana...![]()