Makapuku Forum

Makapuku Forum

Habari ya mchana wana jukwaa
Nawasilisha tu kuwa nimehama kutoka adidas na sasa niko na nike

Chelsea forever
Adidas ndo jezi bora
Ila klabu kipaumbele ni mkwanja tu
Anayeweka dau kubwa ndo anasaini
15ad33b850d20bc218bfa453dae171b0.jpg
aa292ceaac40a532082087a1173df8f5.jpg
63f9fc25748eaa4dbbb8946155e8081b.jpg
Ila ya Spurs ipo poa
.....
 
Alikuwa anapost hadithi kule entertainment sasa hapa akasema anaumwa kifua kinabana anashindwa kupumua vizuri mi nikamwambia kwamba labda itakuwa pumu
Lakini kuna mmoja akanambia kuwa nisifanye mchezo na afya za watu ikabidi ninyamaze

Basi nikazungukia ule uziii kila siku sasa nimeingia ndio nakutana na hizo habari kuwa ibrahim kashatuacha

Kuna jamaa anasema alimpigia simu akamwambia amegundulika ana pumu akapanga kesho yake akamuone sasa ile kesho ilipofika akampigia simu ibra ikapokelewa na mdogo wake ndo akamwambia kwamba mwenye simu kafariki
Hee
Ibra gani huyooo
 
Alikuwa anapost hadithi kule entertainment sasa hapa akasema anaumwa kifua kinabana anashindwa kupumua vizuri mi nikamwambia kwamba labda itakuwa pumu
Lakini kuna mmoja akanambia kuwa nisifanye mchezo na afya za watu ikabidi ninyamaze

Basi nikazungukia ule uziii kila siku sasa nimeingia ndio nakutana na hizo habari kuwa ibrahim kashatuacha

Kuna jamaa anasema alimpigia simu akamwambia amegundulika ana pumu akapanga kesho yake akamuone sasa ile kesho ilipofika akampigia simu ibra ikapokelewa na mdogo wake ndo akamwambia kwamba mwenye simu kafariki
Hata humu makapuku alikuwepo yeye ni miongoni mwa watu wa mwanzo nenda kuanzia page # 1 utamkuta
4d98a3558bb8f14cbfe158e013735cc1.jpg

.....
 
RIP Ameondoka mdogo,pamoja na mazoezi ya kutosha,mpango wa Mungu huwezi zuia

Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
Ni mhanga wa mwanzo mwanzo wa ugonjwa wa UKIMWI wakati ule wala haujajulikana sana ndiyo unaanza anza. Inaaminika kuwa aliupata baada ya kuongezewa damu chafu wakati alipofanyiwa operesheni ya moyo.

Wakati huo UKIMWI ulikuwa unahusishwa na mashoga na wagonjwa walikuwa wanajificha kwa sababu ya aibu na kunyayapaliwa. Kwa ushujaa mkubwa alijitokeza hadharani na kusema kuwa alikuwa nao. Wanaharakati wa UKIMWI wanamtambua kama mtu wa muhimu na aliyesaidia kuamsha hisia za umma kuhusu ugonjwa huo!
 
Pia ni miongoni mwa watu wa mwanzo kuwashirikisha kuhusu uzi huu wengine ni EMYDUY,Sissya, baadhi majina nimewasahau

Japo waanzilishi wakuu ni Bailly,Jimena na mimi.....maana hata kabla ya wao kuja chemba sisi wa3 tulikuwa tayari ni marafiki wa JF na tulishaelewana kuanzisha kijiwe ila tukashirikisha na mawazo ya wengine baada ya izi kuanza

Duh ukiziangalia post zake kule mwanzoni utaelewa
.......
 
Alikuwa anapost hadithi kule entertainment sasa hapa akasema anaumwa kifua kinabana anashindwa kupumua vizuri mi nikamwambia kwamba labda itakuwa pumu
Lakini kuna mmoja akanambia kuwa nisifanye mchezo na afya za watu ikabidi ninyamaze

Basi nikazungukia ule uziii kila siku sasa nimeingia ndio nakutana na hizo habari kuwa ibrahim kashatuacha

Kuna jamaa anasema alimpigia simu akamwambia amegundulika ana pumu akapanga kesho yake akamuone sasa ile kesho ilipofika akampigia simu ibra ikapokelewa na mdogo wake ndo akamwambia kwamba mwenye simu kafariki
Aisee, poleni sana
 
Ni mhanga wa mwanzo mwanzo wa ugonjwa wa UKIMWI wakati ule wala haujajulikana sana ndiyo unaanza anza. Inaaminika kuwa aliupata baada ya kuongezewa damu chafu wakati alipofanyiwa operesheni ya moyo.

Wakati huo UKIMWI ulikuwa unahusishwa na mashoga na wagonjwa walikuwa wanajificha kwa sababu ya aibu na kunyayapaliwa. Kwa ushujaa mkubwa alijitokeza hadharani na kusema kuwa alikuwa nao. Wanaharakati wa UKIMWI wanamtambua kama mtu wa muhimu na aliyesaidia kuamsha hisia za umma kuhusu ugonjwa huo!
Naona unamuenzi kwa hadithi


Hiyo ulioleza hapo ni hadithi niliisoma nikiwa primary huyo kaka aliitwa "martin na mchumbaake aliitwa "beatrce lugakingila" ndoa yao ilifungwa angani..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom