Mwanzo ni Mwisho
JF-Expert Member
- Mar 9, 2016
- 4,400
- 10,860
haha! mdau mimi nipo hapahapa kwa magu nasubiri noah yangu, mars hakuna noah kuleYuko Mars
haha! mdau mimi nipo hapahapa kwa magu nasubiri noah yangu, mars hakuna noah kuleYuko Mars
Adidas ndo jezi boraHabari ya mchana wana jukwaa
Nawasilisha tu kuwa nimehama kutoka adidas na sasa niko na nike
Chelsea forever
HeeAlikuwa anapost hadithi kule entertainment sasa hapa akasema anaumwa kifua kinabana anashindwa kupumua vizuri mi nikamwambia kwamba labda itakuwa pumu
Lakini kuna mmoja akanambia kuwa nisifanye mchezo na afya za watu ikabidi ninyamaze
Basi nikazungukia ule uziii kila siku sasa nimeingia ndio nakutana na hizo habari kuwa ibrahim kashatuacha
Kuna jamaa anasema alimpigia simu akamwambia amegundulika ana pumu akapanga kesho yake akamuone sasa ile kesho ilipofika akampigia simu ibra ikapokelewa na mdogo wake ndo akamwambia kwamba mwenye simu kafariki
Ibra yule mwenzetu mzee wa riwaya?Shunie ,tumosa mko wapiii eti wanasema IBRA kafa jamani uwiiiiiii..........hadi naogopa wallahi mungu wanguuuu weeee
Hata humu makapuku alikuwepo yeye ni miongoni mwa watu wa mwanzo nenda kuanzia page # 1 utamkutaAlikuwa anapost hadithi kule entertainment sasa hapa akasema anaumwa kifua kinabana anashindwa kupumua vizuri mi nikamwambia kwamba labda itakuwa pumu
Lakini kuna mmoja akanambia kuwa nisifanye mchezo na afya za watu ikabidi ninyamaze
Basi nikazungukia ule uziii kila siku sasa nimeingia ndio nakutana na hizo habari kuwa ibrahim kashatuacha
Kuna jamaa anasema alimpigia simu akamwambia amegundulika ana pumu akapanga kesho yake akamuone sasa ile kesho ilipofika akampigia simu ibra ikapokelewa na mdogo wake ndo akamwambia kwamba mwenye simu kafariki
Mi Timu USA mapanki apite vileeeAcha aichemshe USA kidogo ipunguze shobo kwanza
Ndio huyo huyoo ila inaweza kuwa uzushi banaa ci unajua mitandao hiiIbra yule mwenzetu mzee wa riwaya?
Ila km ni kweli basi hamna jinsi ishatokea
.....
Mtunzi Wa riwaya ya NITAKUPATA TUHee
Ibra gani huyooo
Ngoja nifuatilie ila kumbuka kifo ni kitu cha kawaida tu ila hakizoelekiNdio huyo huyoo ila inaweza kuwa uzushi banaa ci unajua mitandao hii
AiseeeeMtunzi Wa riwaya ya NITAKUPATA TU
Ni kweli amefarikiMtunzi Wa riwaya ya NITAKUPATA TU
Ni mhanga wa mwanzo mwanzo wa ugonjwa wa UKIMWI wakati ule wala haujajulikana sana ndiyo unaanza anza. Inaaminika kuwa aliupata baada ya kuongezewa damu chafu wakati alipofanyiwa operesheni ya moyo.RIP Ameondoka mdogo,pamoja na mazoezi ya kutosha,mpango wa Mungu huwezi zuia
Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
AiseeHata humu makapuku alikuwepo yeye ni miongoni mwa watu wa mwanzo nenda kuanzia page # 1 utamkuta![]()
.....
Sawaa najua hilo mkuuNgoja nifuatilie ila kumbuka kifo ni kitu cha kawaida tu ila hakizoeleki
Kila mtu anakufa kwa siku yake
.....
Pia ni miongoni mwa watu wa mwanzo kuwashirikisha kuhusu uzi huu wengine ni EMYDUY,Sissya, baadhi majina nimewasahauAiseeee
Mimi pia nakumiss shemejiNzuri shem.... Nakumiss tuu
Aisee, poleni sanaAlikuwa anapost hadithi kule entertainment sasa hapa akasema anaumwa kifua kinabana anashindwa kupumua vizuri mi nikamwambia kwamba labda itakuwa pumu
Lakini kuna mmoja akanambia kuwa nisifanye mchezo na afya za watu ikabidi ninyamaze
Basi nikazungukia ule uziii kila siku sasa nimeingia ndio nakutana na hizo habari kuwa ibrahim kashatuacha
Kuna jamaa anasema alimpigia simu akamwambia amegundulika ana pumu akapanga kesho yake akamuone sasa ile kesho ilipofika akampigia simu ibra ikapokelewa na mdogo wake ndo akamwambia kwamba mwenye simu kafariki
Shemeji, pole kwa msiba wa Ibra!Sawaa najua hilo mkuu
Naona unamuenzi kwa hadithiNi mhanga wa mwanzo mwanzo wa ugonjwa wa UKIMWI wakati ule wala haujajulikana sana ndiyo unaanza anza. Inaaminika kuwa aliupata baada ya kuongezewa damu chafu wakati alipofanyiwa operesheni ya moyo.
Wakati huo UKIMWI ulikuwa unahusishwa na mashoga na wagonjwa walikuwa wanajificha kwa sababu ya aibu na kunyayapaliwa. Kwa ushujaa mkubwa alijitokeza hadharani na kusema kuwa alikuwa nao. Wanaharakati wa UKIMWI wanamtambua kama mtu wa muhimu na aliyesaidia kuamsha hisia za umma kuhusu ugonjwa huo!