Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,585
MornMorning family
MornMorning family
KaribuTUPATE DONDOO ZA MAGAZETI YA LEO
Mbona hatujawahi kukuona humu
Au unapitaga kimyakimya
![]()
![]()
![]()
Fresh tu mdau
...

Morning mpendwa wa ObeMorn
Mi hawa jamaa sijawahi kuwaelewa. Zamani nilikuwa nafikiria ni jeshi kabisaNa wanaendesha shughuli za kiimani wachungaji wao wanavyeo vya kijeshi.
My pleasureAsante kwa kuyapitia ankali JJ
WekeendNa hadithi je?
majamaa awana muungano na nchi nyingine yoyotr lakini wanampa wasiwasi kinoma huyo trump!Huyo ndo mapanki
Roho mbaya alianza wakati akinyonya
Ujasiri alianza wakati akitambaa
Mbwembwe alianza alipojua kutembea
Ubabe alijifunzia Ikulu babaye akiwa rahisi
Na mzuka umempanda zaidi Trump alipoingia White House![]()
Mapanki endelea tu
.....
Huyo ndo mapanki
Roho mbaya alianza wakati akinyonya
Ujasiri alianza wakati akitambaa
Mbwembwe alianza alipojua kutembea
Ubabe alijifunzia Ikulu babaye akiwa rahisi
Na mzuka umempanda zaidi Trump alipoingia White House![]()
Mapanki endelea tu
.....

Kwema mdauHabari za asubuhi wadau
.....
Good morning my demiGood morning my Lee

Na wana brass band ukiwakuta kwenye ibada zao ni kushoto kulia ukakamavu ,naona wakati wa mazoezi ya kwaya na pushapu zinapigwaMi hawa jamaa sijawahi kuwaelewa. Zamani nilikuwa nafikiria ni jeshi kabisa
Sani na kiu mmiliki wake ni mmoja ee?!
Nipo mkuu hua napita kimya kimya na kwa sauti inapobidi!Mbona hatujawahi kukuona humu
Au unapitaga kimyakimya
![]()
![]()
![]()
Fresh tu mdau
...
Ngoja tuone na leoEti stars tupeni raha"
Walibahatisha tu pale