Achana na waongo waongo njoo upate umalikia wa kooPoker namba yangu unayo! Na una deni kubwa kwangu!
We poker huwa anaweka mzigo weka namba uone😅Achana na waongo waongo njoo upate umalikia wa koo
Nilipita mitaa ya ununio kuna binti nilipishana nae kikawaida anavutia na anasikitisha kwa wakati mmoja kama sio ndugu yakoWe poker huwa anaweka mzigo weka namba uone😅
Kwanini awe ndugu yangu? Nafanana naye mwandiko au?Nilipita mitaa ya ununio kuna binti nilipishana nae kikawaida anavutia na anasikitisha kwa wakati mmoja kama sio ndugu yako
Sio kwamba mnafanana hapana nilimaanisha muonekano wa yule binti aseeh unasikitisha na unaweza ukakuvutia pia kama mwanaume rijali ila ni masikitiko zaidi kama ni ndugu yako inamaana ninyi kwenye vikoba hua amuelimishani wanawake na staraKwanini awe ndugu yangu? Nafanana naye mwandiko au?
We unaweza kumuelimisha mtu mzima mwenzio? Zipo institutions zinazoelimisha watu kiujumla, kama ulimuonea huruma kwanini usingemsaidia?Sio kwamba mnafanana hapana nilimaanisha muonekano wa yule binti aseeh unasikitisha na unaweza ukakuvutia pia kama mwanaume rijali ila ni masikitiko zaidi kama ni ndugu yako inamaana ninyi kwenye vikoba hua amuelimishani wanawake na stara
Unamuelimisha mtu yupo kazini embu nipe mbinu ningeanza vp maana mimi ni moraniWe unaweza kumuelimisha mtu mzima mwenzio? Zipo institutions zinazoelimisha watu kiujumla, kama ulimuonea huruma kwanini usingemsaidia?
Unamuita pembeni unamuuliza bei ya bidhaa yake kisha unaanza kumpa somo!Unamuelimisha mtu yupo kazini embu nipe mbinu ningeanza vp maana mimi ni morani
Mida ya saa kumi na mbili na dakika 23-30 hapo angalia kuna namba ya halotel imetingisha hiyo lipa nambaWeweee!!!! Nipe details niweze kuipata
Sawa weka namba uokoteshwe minotiUnamuita pembeni unamuuliza bei ya bidhaa yake kisha unaanza kumpa somo!
Poker ana namba yangu labda hajataka tuSawa weka namba uokoteshwe minoti
Au wewe ndo poker hii ni id yako nyingine unatekenya na kuchekaPoker ana namba yangu labda hajataka tu
Mi sitaki mikopo!Basi ifike time wewe kama jobless ulete vyeti vyako viwe dhamana ya kuchukulia mkopo mheshimiwa kashasema huko