Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
I see ,sijui utajiri wa kaka yake Michael nani anasimamia5Janet Jackson
Alizaliwa Mei 16 1966![]()
Ni dada wa Michael Jackson....utotoni familia yao ilianzisha kundi la muziki liitwalo Jackson 5 ambapo na Wacko Jacko na wengine walitamba vilivyo na ukawa ndo upenyo wao wa kutokea
Juzijuzi amwbahatika kupata mtoto yaani uzeeni angalia mwaka aliozaliwa utaelewa tu
Katamba kimuziki na kuingiza pesa za kutosha
Utajiri wake haujulikani vizuei maana kuna data zanakanganya
Ila Ni kuanzia USD 200Milion hadi kama 600 Milioni hivi(sina uhakika)
.......
.....tulia wewe, mamito ndo nani? husna muba ni mpendwa na BH kila siku ananitolea mbavuni.
Kwani Vale yupo wapi?
Kweli yeye ni mungu,sioMungu, MUNGU TUNAYEMWABUDU.Utajiri wa Beyonce hauzidi USD 400 Milioni ila pale ni pamoja na wa Jay z
Kuhusu kanisa ndiyo lipo na yeye ndo mungu na wanatumia beblia yake
.....
Utajiri wa kaka/dada huwa ni wa watoto tuI see ,sijui utajiri wa kaka yake Michael nani anasimamia
Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
Safi6/Beyonce Knowles--Carter![]()
![]()
Amezaliwa Septemba 4 1981
Huu ndo usingizi wa Jay Z....Kama huna mpenzi wala usione wivu tafuta hata bata ulale nae
Beyonce na Jay Z wamejaaliwa mtoto mmoja Blue Ivy ila pia ana ujauzito wa mapacha(keshajifungua ?)
Nyota yake ilianza kung'ara akiwa Destiny's Childna akina Kelly Rowland na wengineo
Ana biashara kibao akishirikiana na Jay Z mbali ya kazi zake za kimuziki
Ana mkwanja unaofikia USD Bilioni 1 na ushee
.......
Hongera zao7Mary Kate & Ashley Olsen![]()
![]()
Wamezaliwa Juni 13 1986
Hawa ndo mapacha maarufu zaidi duniani ila siyo tu umaarufu bali pia ndio wenye mpunga mrefu duniani
Wanajihusisha na vipindi vya televisheni ila wana biashara kibao zinazowaingizia mkwanja wa kutosha
Wanamiliki kampuni ya Dualstar
Wana mpunga unaokadiriwa kufikia USD 350 Milioni
......
Safi8/Rihanna
Amezaliwa Februari 20 1988![]()
Huyu dada amewahi kuvaa gwanda katika Jeshi la Marekani halafu akaamua kuacha
Kawahi kuwa demu wa Chris Brown wakamwagana baada ya kudundwa vya kutosha kiasi cha kuumuka sura
Ndiye nyota wa kibao cha Umbrella ila pia vipi vingine kibao vikali kami vile Diamonds na kingine matata cha Rude Boy
Ana utajiri wa zaidi ya USD 245 Milioni
.......
Ameutumia usomi wake vizuri9/Judge Judy Sheindlin
Alizaliwa Oktoba 21 1942![]()
NiJaji,mwendesha vipindi vya luninga na pia ni mtunzi wa vitabu(maandishi huishi milele)
Ana Shahada kutoka chuo kikuu cha American University na pia kupata mafinzo ya uwakili kutoka New York Law School ila usishangae kwa Nchi zilizoendelea kuwa na madegree siyo kitu cha kutambia mitaani sio kama akina Profesa Lipumba wanavyotusumbua huku
Ana utajiri unaokadiriwa kuzidi USD 230 Milioni
. .......
Asante sana ,ni maarifa mapya nimepata ubarikiweTOP TEN
Week end inaendaje wanangu?
Kama vipi njooni Mabibo City Nite Club tule gambe wana....maisha yenyewe mafupi kama stuli !!
Kama kawaida Ijumaa tunamaliza week kiburudani au kiudakuudaku zaidi maana ndo mwendo wetu siasa zinachosha
Umaarufu bila pesa ni kazi bure au ukipenda sema ni kuuza sura tu
Kwa Bongo wanawake maceleb wenye mkwanja ambao unaeleweka ni Lady Jaydee(komando Jide} na Jokate Mwegelo {Kidoti) binti kutoka [Loyola High School inayopatikana Mabibo ndo alisoma hapo akiwa kama dada Mkuu(kiranja) pia aliwahi kutikisa Miss Tanzania
Sasa wana nawaletea wanawake kumi mashuhuri wenye mpunga wa maana huko mamtoni sana sana kwa Mzee Donald Trump
************************
Dola 1 ya USA= 2240 Tsh
***************************
Karibuni
........