Makapuku Forum

Makapuku Forum

9cdfff475585950f2d0e0b09de90c373.jpg
 
1/Oprah Winfrey
977394ae67fa6265dc9d97ec8fee2768.jpg
b73f8593a5b5ba49f73758636f33aa98.jpg
Alizaliwa Januari 29 1954
Utotoni akitokea familia ya kimaskini Hivyo kupitia changamoto kibao
Akiwa na umri mdogo alibakwa na nduguye ...haikuidhia hapo
Akiwa na umri mdogo tu akapewa ujauzito ila akapoteza kichanga chake baada ya kujifungua(mtoto walifariki) ila akaendelea na ndoto zake......Huku Bongo Sizonje hawataki mabinti waliopataujauzito waridi shule(mi nampinga)
Hajabahatika tena kupata mtoto
f69e602c2a44240a39a2a8bfa9f4b041.jpg

Mweneshaji huyu wa zamani wa vipindi vya luninga ana vidole 6 mguu wa kushoto ....pamoja na kuwa na utajiri mkubwa lakini amejikubali na kuviacha kama vilivyo licha ya utotoni kuchekwa
Halle Berry naye mguu mmoja ana vidole 6.,..
Ana utajiri unaofikia USD 3 Bilioni
.
.
.
.
.
Shukrani kwa mliosapoti mada
Tukutane Jumatatu
Mwisho
...........
Nampenda sana Oprah Winifrey kwa kazi zake nzuri na ujasiri,ni mfano wa kuigwa

Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
 
2Dr Precious Moloi Motsepe
32d1affd5bb07cd491b8caa4cb0f7b53.jpg
7374fc97ffec0c6d3626358bcae7ae7e.jpg
3e4a5d3b2cfcc67e9b2547c8531fb8fa.jpg
Sijajua mwaka aliozakiwa.....Waafrika kwa kuficha umri hatujambo
Ni Msauzi ambaye couple yake na mumewe ni maarufu
Anamiliki ma kampuni kadhaa....ni mfanyabiashara na pia anajihusisha na masuala ya mitindo
Anao/wanao utajiri unaofikia USD 2.5 Bilion
........
Yuko vizuri sana ,umri huwa hataji mara nyingi

Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
 
3/Madonna
afb7e85190934dedca5e4b33e8747c30.jpg
5114a1cb1dc1de373ecbc2f86e4c729c.jpg
Alizaliwa Agosti 16 1958
Huyu ni bibi mpenda starehe na kutembea na viMario....alikuwa na vituko kumzidi Lady Gaga
Enzi zake alitamba vilivyo na vibao vyake matata kama vile Like A Virgin na kuiteka dunia
Pia anazo ngoma kali nyingine kama vile Like A Prayer na Vogue
Kupitia muziki ameingiza mpunga mrefu pia amejihusisha na filamukibao zikiwemp za utupu ..yeye kwake ni pesa tu
Ana utajiri unaofikia USD 800 Milioni
.......
I see...kukaa utupu ndio hapo akizeeka atawaza sana..majuto mjukuu

Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
 
4/JK Rowling
cbb5b2239fe7d54cb38a0d8cd7c952e4.jpg
dc4062da6b3ecfc1a5f7c5a366d1ae10.jpg
Amezaliwa July 31 1965
Umewahi kuangalia mfululizo wa muvi za Harry Porter ? Ni mfululizo wa muvi kama za kichawichawi....siyo uchawi wa yule Mtu mwepesi tapeli wa JF
Wakati wewe unaburudika basi elewa kuna mwanamke pale amekinga ndoo inajaa hela utafikiri anakinga majibombani
Ana utajiri unaokadiriwa kufikia USD 1 billion
.......
I see

Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom