Makapuku Forum

Makapuku Forum

TOP TEN
Week end inaendaje wanangu?
Kama vipi njooni Mabibo City Nite Club tule gambe wana....maisha yenyewe mafupi kama stuli !!
Kama kawaida Ijumaa tunamaliza week kiburudani au kiudakuudaku zaidi maana ndo mwendo wetu siasa zinachosha

Umaarufu bila pesa ni kazi bure au ukipenda sema ni kuuza sura tu
Kwa Bongo wanawake maceleb wenye mkwanja ambao unaeleweka ni Lady Jaydee(komando Jide} na Jokate Mwegelo {Kidoti) binti kutoka [Loyola High School inayopatikana Mabibo ndo alisoma hapo akiwa kama dada Mkuu(kiranja) pia aliwahi kutikisa Miss Tanzania

Sasa wana nawaletea wanawake kumi mashuhuri wenye mpunga wa maana huko mamtoni sana sana kwa Mzee Donald Trump

************************
Dola 1 ya USA= 2240 Tsh
***************************
Karibuni
........
 
10/Angelina Jolie
5e69e2b5f52743589475be6f1fb77b23.jpg
0985efaafc1e617228e09f0158a86dcd.jpg
Ni mcheza filamu maarufu huko Hollywood nchini Marekani
Ni demu wa Brad Pitt na walijaaliwa hadi kupata mtoto/watoto pamoja yaani kitu kimelipa...pia wameasili watoto kutoka sehemu mbalimbali duniani ikiwepo kutoka Afrika
Kupitia filamu anaingiza mkwanja mrefu kama urefu wa treni ya Mwakyembe inayozurura huku Joto City
Ana mpunga unaokadiriwa kufikia USD 120 Milioni
.....
 
9/Judge Judy Sheindlin
a2f7effb5927968702c5ce727b2a1adf.jpg
adbc266a5fee3ea7691b9c247a6b622e.jpg
Alizaliwa Oktoba 21 1942
NiJaji,mwendesha vipindi vya luninga na pia ni mtunzi wa vitabu(maandishi huishi milele)
Ana Shahada kutoka chuo kikuu cha American University na pia kupata mafinzo ya uwakili kutoka New York Law School ila usishangae kwa Nchi zilizoendelea kuwa na madegree siyo kitu cha kutambia mitaani sio kama akina Profesa Lipumba wanavyotusumbua huku
Ana utajiri unaokadiriwa kuzidi USD 230 Milioni
. .......
 
8/Rihanna
9c7e441cfdc6ee00415fb94f07e2699f.jpg
276a447890d3abb48bb9da2ebc0fc6f1.jpg
Amezaliwa Februari 20 1988
Huyu dada amewahi kuvaa gwanda katika Jeshi la Marekani halafu akaamua kuacha
Kawahi kuwa demu wa Chris Brown wakamwagana baada ya kudundwa vya kutosha kiasi cha kuumuka sura
Ndiye nyota wa kibao cha Umbrella ila pia vipi vingine kibao vikali kami vile Diamonds na kingine matata cha Rude Boy
Ana utajiri wa zaidi ya USD 245 Milioni
.......
 
10/Angelina Jolie
5e69e2b5f52743589475be6f1fb77b23.jpg
0985efaafc1e617228e09f0158a86dcd.jpg
Ni mcheza filamu maarufu huko Hollywood nchini Marekani
Ni demu wa Brad Pitt na walijaaliwa hadi kupata mtoto/watoto pamoja yaani kitu kimelipa...pia wameasili watoto kutoka sehemu mbalimbali duniani ikiwepo kutoka Afrika
Kupitia filamu anaingiza mkwanja mrefu kama urefu wa treni ya Mwakyembe inayozurura huku Joto City
Ana mpunga unaokadiriwa kufikia USD 120 Milioni
.....
Nampenda huyu mdada
 
8/Rihanna
9c7e441cfdc6ee00415fb94f07e2699f.jpg
276a447890d3abb48bb9da2ebc0fc6f1.jpg
Amezaliwa Februari 20 1988
Huyu dada amewahi kuvaa gwanda katika Jeshi la Marekani halafu akaamua kuacha
Kawahi kuwa demu wa Chris Brown wakamwagana baada ya kudundwa vya kutosha kiasi cha kuumuka sura
Ndiye nyota wa kibao cha Umbrella ila pia vipi vingine kibao vikali kami vile Diamonds na kingine matata cha Rude Boy
Ana utajiri wa zaidi ya USD 245 Milioni
.......
 
Though kwenye Video hapo ni Ak-74 ambayo ni toleo la mwaka 1974 liloreplace tolea la mwaka 1947 ambazo kuna series pia Ak-47, AKMs

Hiyo ya kwenye video ni ndefu , nyepesi, ina Catridge dogo kidogo afu ina shoot range ya 100-1000m kwa adjustments..

Tofauti na Ak-47 ambayo inaishi a 350M ...
Itabidi niitafute
 
7Mary Kate & Ashley Olsen
0c66dd0ef897a5cdaa9ad12ac37a076b.jpg
f74cbb4fa1a2ee45dfde4c862c66b8ce.jpg

Wamezaliwa Juni 13 1986
Hawa ndo mapacha maarufu zaidi duniani ila siyo tu umaarufu bali pia ndio wenye mpunga mrefu duniani
Wanajihusisha na vipindi vya televisheni ila wana biashara kibao zinazowaingizia mkwanja wa kutosha
Wanamiliki kampuni ya Dualstar
Wana mpunga unaokadiriwa kufikia USD 350 Milioni
......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom