Makapuku Forum

Makapuku Forum

Binamu heshima yako naomba nyimbo ya kassim mganga lea


Heshima kwako pia aunt yangu. Leo nilipanga kuweka nyimbo mbili, zilipendwa na bongo fleva, so hiyo ya Kassim imepita bila kupingwa.

Nitaitupia baadaye kwa sasa hivi naburudika na ule wimbo wa Fally Ipupa Eloko Oyo, kuna mdada mmoja namshabikia sana, kule mwisho mwisho anajisusa kabisa basi mimi full kuburudika.

Hujambo lakini?
 
Kila mtu na kipaji chake shunie..
Katika vitu nilivyokosa maishanj mwangu na hua naumia sana kuvikosa ila ndio Mungu kaniumba hivyo ni kuongea..Yaani sijui kabisaaa hata kupiga stori na watu mda wote nipo kimya pekee angu.Mtu nayeweza kuongea nae bila kukwaruza ni mama tu!! Hata baba hua ni salam tu maana nayy ni mtu wa kukaa kimya..Nikikumbuka mara ya kwanza kufanyiwa intaviu hua nabak najicheka tuu maana sijui khjitetea yaani siku nikipata kesi baasi jela inanihusu hata kama kosa sikutenda..
Bahat nzuri nilijaliwa upole na Aibu kiasi..
Kumbe kweliiiii mpo hiviiii kuna thread nimesoma mmu kuhusu nyie na audio imewekwa
 
Heshima kwako pia aunt yangu. Leo nilipanga kuweka nyimbo mbili, zilipendwa na bongo fleva, so hiyo ya Kassim imepita bila kupingwa.

Nitaitupia baadaye kwa sasa hivi naburudika na ule wimbo wa Fally Ipupa Eloko Oyo, kuna mdada mmoja namshabikia sana, kule mwisho mwisho anajisusa kabisa basi mimi full kuburudika.

Hujambo lakini?
Sawa binamu yangu asante
 
Ooooooh kumbe na wewe unaifatiliaa nilijuaa ni ya shunie na tumosa


....ni makosa makubwa kutofatilia kitu kilichoandikwa kwa mtindo wa flashback, na ndani unakutana na zaidi ya story moja. Yaani ukweli mtunzi kama ni wewe nakupa gwala na sio magwangala. Nakama wewe sio mtunzi basi nakupa beki tatu.

Utani pembeni! Anko hii story ni nzuri sana. Sema wakati mwingine nachelewa kuiona so next time hebu nitag ili isinipite kama baba usipitwe
 
...anko, wewe si ulikuwa kwenye ile kamati ndogo maalum, kamati teule ya watu wawili! Ila mbona ripoti hamjakabidhi sasa?

Umeshindaje mjomba
Binamu mambo ya kamati yanabaki kuwa ya kamati ila nimekamatika na kamati make kwanza naomba nijue huyu mwanakamati umemtoaa wapiiii....kiukweli yuko makini haswaaaaa na mtaalamuu haswa kuandaa pasipo kuandaliwa

Naendelea vizuri kabisaa
 
Kila mtu na kipaji chake shunie..
Katika vitu nilivyokosa maishanj mwangu na hua naumia sana kuvikosa ila ndio Mungu kaniumba hivyo ni kuongea..Yaani sijui kabisaaa hata kupiga stori na watu mda wote nipo kimya pekee angu.Mtu nayeweza kuongea nae bila kukwaruza ni mama tu!! Hata baba hua ni salam tu maana nayy ni mtu wa kukaa kimya..Nikikumbuka mara ya kwanza kufanyiwa intaviu hua nabak najicheka tuu maana sijui khjitetea yaani siku nikipata kesi baasi jela inanihusu hata kama kosa sikutenda..
Bahat nzuri nilijaliwa upole na Aibu kiasi..
Pole sana mondray
 
....ni makosa makubwa kutofatilia kitu kilichoandikwa kwa mtindo wa flashback, na ndani unakutana na zaidi ya story moja. Yaani ukweli mtunzi kama ni wewe nakupa gwala na sio magwangala. Nakama wewe sio mtunzi basi nakupa beki tatu.

Utani pembeni! Anko hii story ni nzuri sana. Sema wakati mwingine nachelewa kuiona so next time hebu nitag ili isinipite kama baba usipitwe
Shaka ondoaa kabisaaa ....weew si umenizoeaa porojo za mama mwajumaaa na uku nipooo
 
....ni makosa makubwa kutofatilia kitu kilichoandikwa kwa mtindo wa flashback, na ndani unakutana na zaidi ya story moja. Yaani ukweli mtunzi kama ni wewe nakupa gwala na sio magwangala. Nakama wewe sio mtunzi basi nakupa beki tatu.

Utani pembeni! Anko hii story ni nzuri sana. Sema wakati mwingine nachelewa kuiona so next time hebu nitag ili isinipite kama baba usipitwe
Shaka ondoaa kabisaaa ....weew si umenizoeaa porojo za mama mwajumaaa na uku nipooo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom