Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Asante mkuu Bitoz barikiwa1/Indonesia![]()
Nani nasema Waafrika pekee ndio wachawi?...tembea ujionea![]()
Huku nako usiku ni mwendo wa kuvua nguo na kuwanga
Rais wao keshasema hadharani kwamba anaamini katika ushirikina na kuwa Rais mchawi pekee duniani ....wewe na mimi kama hatuamini uchawi ni Imani/msimamo wetu
Waindonesia ni noma kiasi kwamba serikali unataka kuifanya practisi ng black magic iwecrimal offence
.
.
.
.
.
Shukrani kwa mliosapoti mada
Tukutane kesho
Mwisho
.........
Unatakiwa usahauIla nikitoka kapuku zinaanza upya![]()
Sitaki popote pale binamu baki na mjomba wako na kina mama ashura
naambiwa umezima umeme home kunanini
Hongera baba hivi umewapanga wangapi lakiniSikia sasa mm sijalala ulivoondoka tulikaa kidogo kwa CM akaanza usumbufu wake ikabidi majogoo nitoroke apa namba yake nimeidaiveetiii kwa ile yako ambayo huitumiii
Ila dogo naye yumoo japo havumiiii
Roho inachomaaHa ha ha ha ha ha.. ...wivu huna lakini.. ..
Asante bitoz kwa kumi kubwa1/Indonesia![]()
Nani nasema Waafrika pekee ndio wachawi?...tembea ujionea![]()
Huku nako usiku ni mwendo wa kuvua nguo na kuwanga
Rais wao keshasema hadharani kwamba anaamini katika ushirikina na kuwa Rais mchawi pekee duniani ....wewe na mimi kama hatuamini uchawi ni Imani/msimamo wetu
Waindonesia ni noma kiasi kwamba serikali unataka kuifanya practisi ng black magic iwecrimal offence
.
.
.
.
.
Shukrani kwa mliosapoti mada
Tukutane kesho
Mwisho
.........
AiseeeeUpoooo...ila kipindi hicho waganga hao walitikisa,wengi walijisalimisha,kuna wazee wawili mke na mume walikutwa na majembe 1000 na zaidi ,baada ya kunywa dawa ,walipoulizwa yanini wakasema wanalimisha watu usiku ,bibi mngine akalia sana kuna kidoli mfano wa ndege (aeroplane) ilichomwa moto alilia sanaaa kuulizwa why akasema anawaogopa wenzake wakija watamuuliza maana walichanga,shilingi laki saba...alilia mno after one week tulimzika

Nazimaje umeme lakini umekatika![]()
![]()
naambiwa umezima umeme home kunanini
Ha ha ha haRoho inachomaa
Asante sana Toz
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Asante balozi
Ila husna yuko wap![]()
![]()
![]()
Asante mkuu Bitoz barikiwa
Pamoja sana wadauAsante bitoz kwa kumi kubwa
Mungu azidi kutuongozaaUpoooo...ila kipindi hicho waganga hao walitikisa,wengi walijisalimisha,kuna wazee wawili mke na mume walikutwa na majembe 1000 na zaidi ,baada ya kunywa dawa ,walipoulizwa yanini wakasema wanalimisha watu usiku ,bibi mngine akalia sana kuna kidoli mfano wa ndege (aeroplane) ilichomwa moto alilia sanaaa kuulizwa why akasema anawaogopa wenzake wakija watamuuliza maana walichanga,shilingi laki saba...alilia mno after one week tulimzika
Hahahhhh shemela acha tuUnatakiwa usahau
Hicho ndo kinakupa wasi wasi.... Kwamba humjui ninayemfikiria... Unahisi labda nimekaa stand by.... Nasubiri mkono uanguke.. ....ha ha ha ha ha ha ha ha ha... Kuwa na amani Rafiki kipenz.
utajibebaaWewe na mimi ni kama tunafananaShikamoo yao huko Indonesia.
Ila waafrika na Asia tumezidi jamani hiyo top 10 tumeitawala.
Mi binafsi siamini uchawi wala uganga
Dini yangu ni Upendo (sio mfuasi wa dini za mashariki ya kati za kiafrika wala Asia)
Na pia ni Antagonist kuhusu uwepo wa Mungu na Shetani
Na always huwa nashauri watu watende mema sababu we reap what we have sown...
Asante kwa kumi kubwa Bitoz na kati ya mabibo beach
Mm auHongera baba hivi umewapanga wangapi lakini
Wewe jitoe ufahamu ...ukitoka kaaa uko uko wa tax ataleta nguo zako asubhNazimaje umeme lakini umekatika
Wakongo ni maarufu kwaKumbe hawa nao wamo?? Sikuwahi kuwafikiria
Magololi avae mdogo wake mama ashura hivi binamu una nini lakini au unanichukuliaje lakini
