Makapuku Forum

Makapuku Forum

1/Indonesia
212abc02f4bd9684382f6eac38f027a7.jpg
eb12b09ab6e4b7cc8e7cc661fe37f0cf.jpg
b9203e263a17d36c96607b5266a51149.jpg
Nani nasema Waafrika pekee ndio wachawi?...tembea ujionea
Huku nako usiku ni mwendo wa kuvua nguo na kuwanga
Rais wao keshasema hadharani kwamba anaamini katika ushirikina na kuwa Rais mchawi pekee duniani ....wewe na mimi kama hatuamini uchawi ni Imani/msimamo wetu
Waindonesia ni noma kiasi kwamba serikali unataka kuifanya practisi ng black magic iwecrimal offence
.
.
.
.
.
Shukrani kwa mliosapoti mada
Tukutane kesho
Mwisho
.........
Asante mkuu Bitoz barikiwa
 
1/Indonesia
212abc02f4bd9684382f6eac38f027a7.jpg
eb12b09ab6e4b7cc8e7cc661fe37f0cf.jpg
b9203e263a17d36c96607b5266a51149.jpg
Nani nasema Waafrika pekee ndio wachawi?...tembea ujionea
Huku nako usiku ni mwendo wa kuvua nguo na kuwanga
Rais wao keshasema hadharani kwamba anaamini katika ushirikina na kuwa Rais mchawi pekee duniani ....wewe na mimi kama hatuamini uchawi ni Imani/msimamo wetu
Waindonesia ni noma kiasi kwamba serikali unataka kuifanya practisi ng black magic iwecrimal offence
.
.
.
.
.
Shukrani kwa mliosapoti mada
Tukutane kesho
Mwisho
.........
Asante bitoz kwa kumi kubwa
 
Upoooo...ila kipindi hicho waganga hao walitikisa,wengi walijisalimisha,kuna wazee wawili mke na mume walikutwa na majembe 1000 na zaidi ,baada ya kunywa dawa ,walipoulizwa yanini wakasema wanalimisha watu usiku ,bibi mngine akalia sana kuna kidoli mfano wa ndege (aeroplane) ilichomwa moto alilia sanaaa kuulizwa why akasema anawaogopa wenzake wakija watamuuliza maana walichanga,shilingi laki saba...alilia mno after one week tulimzika
Aiseeee
 
Upoooo...ila kipindi hicho waganga hao walitikisa,wengi walijisalimisha,kuna wazee wawili mke na mume walikutwa na majembe 1000 na zaidi ,baada ya kunywa dawa ,walipoulizwa yanini wakasema wanalimisha watu usiku ,bibi mngine akalia sana kuna kidoli mfano wa ndege (aeroplane) ilichomwa moto alilia sanaaa kuulizwa why akasema anawaogopa wenzake wakija watamuuliza maana walichanga,shilingi laki saba...alilia mno after one week tulimzika
Mungu azidi kutuongozaa
 
Shikamoo yao huko Indonesia.
Ila waafrika na Asia tumezidi jamani hiyo top 10 tumeitawala.
Mi binafsi siamini uchawi wala uganga
Dini yangu ni Upendo (sio mfuasi wa dini za mashariki ya kati za kiafrika wala Asia)
Na pia ni Antagonist kuhusu uwepo wa Mungu na Shetani
Na always huwa nashauri watu watende mema sababu we reap what we have sown...
Asante kwa kumi kubwa Bitoz na kati ya mabibo beach
Wewe na mimi ni kama tunafanana
Mambo ya uchawi ndo kabisa siyaamini hata kwa 3%
........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom